A Plot for sale at mbweni beach.

Ba Brio

Member
Mar 19, 2012
78
37
Kuna ndg yangu anauza kiwanja chake 10M mbweni. hakijapimwa ila kiko mpakani na vilivyopimwa na serikali na hivyo huduma zote zinapatikana kutokana na huo mradi wa serikali.(spillover benefits).kina ukubwa wa 30x40.
Yeye hana acess na internet mpigie kwa 0655520147. Jieleze kuwa unaulizia kiwanja cha mbweni.
 
Kuna ndg yangu anauza kiwanja chake 10M mbweni. hakijapimwa ila kiko mpakani na vilivyopimwa na serikali na hivyo huduma zote zinapatikana kutokana na huo mradi wa serikali.(spillover benefits).kina ukubwa wa 30x40.
Yeye hana acess na internet mpigie kwa 0655520147. Jieleze kuwa unaulizia kiwanja cha mbweni.


Jameni naomba muwasiliane na huyo mwenye kiwanja kwa namba hiyo hapo. details zaidi anazo yeye. Pm zimekuwa nyingi kuulizia details. huyo ndiyo mmiliki wa hicho kiwanja, kaniomba tu nimsaidie kulizia wanunuzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom