wakuu habari zenu.kwa uhitaji wa mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana,unaweza wasiliana namba 0653685339.yanapatikana maeneo ya kijichi. Bei ni 12000 kwa tray.naomba kuwasilisha wakuu.
kwa mtu mwenye Carina Ti ambayo ipo kwenye hali nzuri na anahitaji kuiuza awasiliane nami kwa number 0713 691620 Andika msg ukinijulisha Bei ya mwaka gani na wewe unapatikana maeneo gani hapa Dar...
Thirty tractors ranging from 55HP to 75HP already arrived at our stock, all machines are brand new with full set of implements, see the price attached. we sale at affordable price with full...
Habar zen wanajf kuna frem ya duka inapangishwa moshi mjini eneo la m,buyuni kilemba ni sh3 mil kwa anayehitaji tafadhali wasiliana nami 0763651341 Kama huna nia...
Wakuu,natafuta fremu ya biashara ya kawaida sehumu yenye mkusanyiko wa watu wengi kama Kariakoo,Tandika au sehemu za stand kubwa au vimiji vidogo vya Dar.Mwenye info apost tu hapa hapa
Wadau, habari?
Napangisha nyumba Iringa maeneo ya mkimbizi iko katika hali nzuri sana, Kodi kwa Mwezi ni 300,000
Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane katika namba 0717373190,
Asante.
Kuna ndg yangu anauza kiwanja chake 10M mbweni. hakijapimwa ila kiko mpakani na vilivyopimwa na serikali na hivyo huduma zote zinapatikana kutokana na huo mradi wa serikali.(spillover...
Nauza kiwanja/shamba 22/22, hakijapimwa kipo karibu na barabara, kituo cha polisi, zahanati na shule ya msingi. kipo eneo la mapinga. bei ni milioni 3 na maongezi yapo. kwa atakaehitaji tafadhali...
(1)NYUMBA na eneo lake kwa pamoja lina ukubwa wa meter square 550 Liko Mikocheni A nyumba namba mkc-mca 1129 kimong'onyole au makaburini street gharama ni million 300.
(2)KIWANJA kinauzwa kiko...
Wadau umefikia wakati na mimi niachane na kutu za daladala za mjini.Sasa kwa yeyote anayeuza Corona Premio na engine isiyo D4,naomba ani PM tufanye biashara.
Gari iwe kwenye hali nzuri tafadhali...
Nauza samsung s5233a ni touch screen pia ni orginal bei ni tsh110,000 kama huifahamu waweza igoogle ukaicheki. Kwa halie tayari hanicheki kupitia 0754677877 Niko mwanza.