mkuu wapi naweza pata hii kitu kwa hii bei, maana kuna mtu anataka kuniuzia kwa 24 mil
Haya mawazo ni yale ya kinjaa njaa sanaunatupia 24 kwenye gari wakati ni mtaji wa kuzalisha over 200k a day?
mkuu wapi naweza pata hii kitu kwa hii bei, maana kuna mtu anataka kuniuzia kwa 24 mil
mi rafiki yangu kanunua mil. 8 Rav 4 L. ya mwaka 2000 milango mitano.
Mkuu hebu nipe hayo maujanja ya kumake 200K PER DAY KWA MTAJI WA 24Munatupia 24 kwenye gari wakati ni mtaji wa kuzalisha over 200k a day?