Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau wapi nitapata dish linaloshika DTV??? naskia wataonesha CL
0 Reactions
3 Replies
943 Views
Habari, Nahitaji kununua line ya u wakala wa tigo pesa na M pesa kwa mtu yeyote alieshindwa biashara...... Hii ni kutoka na que kubwa ya wateja kwa ajili ya kupata uwakala M pesa na mimi nipo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nyumba yenye eneo kubwa kabisa inaunzwa Ukubwa wa kiwanja ni 60x120 uwanja wote umezungushiwa ukuta nageti nyumba ina 4 bedrooms 1 kitchen 1 dinning room 1...
0 Reactions
0 Replies
995 Views
iphone 4 16gb for 700,000 htc hd7 16gb for 650,000 and ipad2 16gb 3g&wifi for 800,000. Be updated and beyond others with latest products.
0 Reactions
0 Replies
792 Views
House for Sale in Block G, Plot na.1417 Tegeta (Ma site) Kinondoni Municipality DSM Size:1291M2 Guide Price: Tshs.350,000,000 ( milioni mia tatu na hamsini) Description: It is very private and...
0 Reactions
2 Replies
942 Views
ninauza Suzuki carry iliyoingizwa nchini hivi karibuni namba ya usajili ni T......CBN ni 4WD mwenye kuhitaji awasiliane nami (Dalali Hana nafasi)
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nyumba mbili zinauzwa...moja ipo vingunguti kembembuzi na nyingine ipo temeke......anaehitaji tuwasiliane kwa namba hii 0716583975
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta gari aina ya TOYOTA raum. nipo DAR
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani natafuta nyumba ya kupanga nhc vyumba viwili au vitatu eneo lolote lakini isiwe mbali na mji dar-es-salaam najua kuna madalali wa hizo nyumba hapa ebu nisaidieni. Commision ni nzuri ina...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa,ina vyumba vinne, dinning, master bedroom na garaje imekamilika mpaka linta bado kuezeka tu,ipo kwenye uwanya wa m 35 kwa m103. Tafadhali wasiliana nami kwa 0763894508,. ni km 6...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
VIWANJA MBEZI LUIS KILOMITA 3 KUTOKA MOROGORO ROAD NJIA YA KWENDA GOBA MITA 22*22 MILION 3.5. (kwa taarifa zaidi PIGA: 0718334726-anthony)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DETAILS OF THE TRACTORS ARE 1. USED MASSEY FERGUSON 2725,CHASSIS# 2725RTL133213,GWT 6130kg, AGRICULTURAL TRACTOR MASSEY FERGUSON 2725. 2.USED MASSEY FERGUSON 2720,CHASSIS# 2720STB113204,GWT...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
jamani kuna iphone 3g 8 GB ipo kwnye state nzuri ila ina screen ina scratch kidogo ila hilo halina tatizo price ni 170,000 if intersted pm me mzigo upo dar,have a nice day ladies and gentlemen
0 Reactions
4 Replies
1K Views
stallet Mashaalah inauzwa, iko Magomeni Dar... Iko na Boby pamoja na engen boomba kabisa. Seat cover zimesimamia kucha. Redio ya ukweli. Haidaiwi chochote. Tyre na Rim narenare zinaita...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu bwana yesu asifiwe! Natafuta mtu yeyote yule anayeuza simu ya nokia E61 tufanye nae biashara. Mimi nipo moro na nina pesa cash so mweye hiyo simu please naomba ani-pm. Ahsanteni na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Na Mimi pia natafuta nyumba ya NHC vyumba viwili sitting Jiko na Choo iwe ubungo kinondoni mwananyamala upanga ilala atakayeipata ya NHC nami nampa 500,000/ Commission
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ipad 1 used lkn haina scratch 16GB haina camera wala haitumii line ni wi-fi ipo ktk condition nzuri kuanzia 450,000 km upendezewa naomba tutaftane ktk 0712000119
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Wadau, Nina gari inakuja mwisho wa mwezi huu, ipo kwenye meli. Naomba recommendation ya clearing agent mzuri based on your experience. Jamaa niliokua nawatumia wamekua kichefuchefu, so sitaki...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii habari ni kweli na hakika kama unataka nyumba ya vyumba 3 mpaka 6 vya kulala kwa bei ya mil 15 mpaka 25 tuwasiliane . nyumba hizi zipo katika maeneo 2 mwananyamala na buguruni .zote magari...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za kazi wakubwa, Mpangaji wangu amepata transfer ya ghafla kurudi nchini kwao hivyo ameniachia furniture zake zikiwepo sofa hizo hapo chini kwenye picha nimuuzie. Bei ya kuuza ni Milioni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…