Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau, kuna promotion/sampling ya kampuni moja tulifanya na tukakusanya majina pamoja na namba zao za simu.Kwa yule anaehitaji nimuuzie tuwasiliane.Ni contacts kama 3,000 za watu wa Dar.
0 Reactions
59 Replies
6K Views
Kwa wale wanaohitaji: Nyumba inapangishwa ful tyles ipo maeneo ya Sinza Palestina nyuma ya msikiti na karibu na kituoni ipo poa sanaaa: Inasebule yakutosha,Vyumba 3 Kimoja Master,inachoo cha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau, mwenye kujua sehemu ambayo nitapata course nilizozitaja hapo juu naomba anisaidie.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Eneo linatafutwa lenye ukubwa wa heka 1-3 Barabara morogoro kunzia kibamba mpaka Visjga kama una Eneo katika sehemu hiyo nijuze ofer yako tufanye biashara ni PM
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Viwanja vyenye nafasi ya kutosha vinapatikana tabata segerea dsm , bei zake ni kuanzia tshs. 13million. karibu sana
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa mbezi juu ya Tanki Bovu.Gharama kwa mwezi ni Tsh 250,000. Ipo ndani ya fensi.Kwa mtu ambaye yupo serious anaitaji nyumba ni PM.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
ninayo blackberry 9000, nataka iphone 4 ku exchange... naweza kuongeza hela. ni pm na bei zako.
0 Reactions
0 Replies
779 Views
naihitaji haraka iwe katika hali nzuri bila tatizo lolote bei maelewano...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Hii ni Camera ya kazi inawafaa wale wenyekushughulika na uandishi wa habari au wenye kushughulika na mambo ya shooting movies n.k.Ni Camera nzuri sana na imetumika lakini ipo katika hali nzuri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sony DCR-VX9000E Pal Full Size DV Camcorder 3CCD ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kuna mtu anauza laptop tadhari 2wasiliane kupitia 0769782386, bei isiczidi laki mbili .
0 Reactions
3 Replies
1K Views
for only 500usd. brand new with box. pm me...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, nahitaji gari aina ya Toyota Platz, liwe katika hali nzuri. Budget yangu ni Tsh. 6000000/= Nawasilisha.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama unahitaji lote au sehemu yake piga simu 0716646304
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ameshapatikana mtu
0 Reactions
2 Replies
941 Views
Waheshimiwa poleni na majukumu mbalimbali ya kila siku.Mungu aliyehai awafanikishe katika mema yote! Naomba msaada wa jinsi ya kuipata power supply ya digital video mixer aina ya Videonics mx...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watanzania wenzangu kuna wizi mpya unaotumiwa na kampuni inayotoa huduma kushirikiana na makampuni yetu ya simu za mnkononi inayojitangaza kupitia radio ya clouds FM, kwamba wanauza magari...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
price $400.hdd,3 cd, call 0719315637
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Budget ni 200 - 250K. Iwe na vyumba 2 vya kulala (preferably in a gated compound).
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani nina shida na kifaa tajwa hapo juu anayefanya biashara za computer parts /accessories please contact me 0787725140
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…