Nyumba na uwanja vyauzwa mil 47, mbezi makabe

Mar 5, 2012
92
23
Nyumba inauzwa,ina vyumba vinne, dinning, master bedroom na garaje imekamilika mpaka linta bado kuezeka tu,ipo kwenye uwanya wa m 35 kwa m103. Tafadhali wasiliana nami kwa 0763894508,. ni km 6 kutoka stendi ya Mbezi mwisho. ipo Mbezi makabe. (Picha nitaweka muda si mrefu, kwa sasa mtandao unasumbua), au ukitaka picha ni pm nikutumie kwenye mail yako.
 

Attachments

  • KEN 540.JPG
    KEN 540.JPG
    695.8 KB · Views: 81
  • KEN 541.JPG
    KEN 541.JPG
    864.5 KB · Views: 63
  • KEN 543.JPG
    KEN 543.JPG
    866.6 KB · Views: 52
  • KEN 546.JPG
    KEN 546.JPG
    1.3 MB · Views: 57
  • KEN 547.JPG
    KEN 547.JPG
    1.4 MB · Views: 69
Nyumba inauzwa,ina vyumba vinne, dinning, master bedroom na garaje imekamilika mpaka linta bado kuezeka tu,ipo kwenye uwanya wa m 35 kwa m103. Tafadhali wasiliana nami kwa 0763894508,. ni km 6 kutoka stendi ya Mbezi mwisho. ipo Mbezi makabe. (Picha nitaweka muda si mrefu, kwa sasa mtandao unasumbua), au ukitaka picha ni pm nikutumie kwenye mail yako.

6km! mbali sana kutoka main road
 
Ande, Ina Hati? Au Offer?
Kuna umeme karibu?
Maji?
Barabara?
Makazi?
Hah hah isije ikawa nyumba imejengwa kwenye njia kuu iendayo Wazo Tegeta au isije kuwa kwenye njia ya bomba kuu la mafuta kutoka Zanzibar teh teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom