Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kuna viwanja viwili vimepakana hapa Muleba Mjini ambapo kimoja kina ukubwa wa 10,815 m2 na kingine kina ukubwa wa 11,715m2. Viwanja hivi vinauza kwa bei nzuri sana. Kama kuna taasisi au mtu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
eneo linauzwa burka estate block a ( satelite city ) urefu hatua 70 na upana hatua 40. bei ni 75m ila maongezi yapo kwa mtu aliye serious . kwa mawasiliano zaidi tuma PM
0 Reactions
8 Replies
1K Views
new nissan xtrail just imported from japan for sale at 20m, 2000cc 82,000kms duty paid price include registration and number plates. interested buyer call 0715 881881
0 Reactions
0 Replies
916 Views
VIKO GOBA MATOSA SIZE 20*20 3MILLION, 25*20 3.5MILLION, 40*20 6MILLION NA 40*25 7MILLION MAONGEZI YAPO. VYOTE VINAFIKIKA KWA GARI na UMEME UKO JIRANI. piga0718334726 kwa taarifa zaidi.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Solar Chargers kwa ajili ya simu, digital camera, PDA, MP3 na MP4 zinapatikana. Ina pini tofauti kwa ajili ya simu mbalimbali. Bei ya rejareja ni TZS 25,000. Bei ya jumla ni TZS 20,000. Okoa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
-Imejengwa katika kiwanja # TB/TK/89 -Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja -Ni nyumba...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nauza toyota Corolla E100, cc1300, grey colour. Ipo kwenye hali nzuri, inatembea. Bei 5.8m Tsh.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF. Naomba mssada wa kujua ushuru wa gari ya mwaka 1997 na 2001 pia zinauzwaje hapo bongo? Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau mimi natafuta Minbus Toyota HIACE iliyotumika lakini ambayo ipo katika ali nzurikwa vigezo hivi:- Air con Body isiwe imegongwa vya kutisha! Super roof Engine iwe nzuri siyo imefanyiwa...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Nauza Tv LCD Flat Screen ,aina ya TCL ,INA UKUBWA WA INCHI 24 BEI NI TSHS 350,000/= MAELEWANO YAPO,NI USED INA WEZA KUTUMIKA KM SCREEN YA COMPUTER IKIUNGANISHWA NA CPU.TUWASILIANE KUPITIA NAMBA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wakuu nahitaji laptop moja...... kikubwa ni kwamba iwe ktk hali nzuri. bajeti yangu mwisho laki3. call 0752788090
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Salama wazeiya, Ipo Noah (Exurb) Brand new at 11 MillionMaongez yanakarbshwaInterested! Call/Text to 0776744420
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ps3 slim inauzwa 390,000tsh tatizo lake ni disc tray tuu....ku remove cd vizuri, ndo maana naiuza...apart from that kila kitu kiko freshi, padi na wires zake zipo, na cd kibao zipo....any problem...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nahitaji mtaalam wa mambo ya umeme ambaye anaweza kunibadilishia mashine washers na Driers na zile za kutotolea vifaranga vya kuku ambazo nimezinunua Marekani. Zote zinatumia umeme wa 110V...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba ushauri kwa wenye utaalam ni aina ipi ya acoustic guitar nzuri inapatikana madukani hapa dar na ni vitu gani vya muhimu kuangalia wakati wa kuchagua guitar.Mimi si mtaalam, just najifunza...
1 Reactions
0 Replies
946 Views
Habari zenu wakuu, Chumba kimoja self contained (chenye choo & bafu) jijini dar es salaam kinahitajika chenye mazingira na mandhari mazuri......kodi ya chumba inatolewa ya mwaka mzima. Yeyote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza vifaranga vya kuku wa kienyeji,nina mbegu ya Malawi,Australia,kuchi na mbegu ya kawaida.BEI NI SHILINGI 2500 KWA KILA KIFARANGA.kwa mawasiliano piga simu 0712 419 419,KARIBU SANA.
0 Reactions
11 Replies
10K Views
jamani nauza toyota premio rangi ya kijivu, engine 3s, namba AVU,excellent condition, new tyres. bei 6.5m.negotiable . 0715 881881
0 Reactions
2 Replies
1K Views
fundi fance za umeme anapatika maeneo ya mianzini Arusha kwa ukitaka huduma ya kufungiwa fance wasiliana nae kwa sim namba 0767413838, 0763700777
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nauza toyota premio namba avu, good condition, price 6m, engine 3s, colour(grey)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…