Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta mlinzi ila kutoka kampuni ya ulinzi, eneo la Gongo la mboto. Tafadhali mwenye kujua kampuni yoyote nzuri ya ulinzi eneo hili au karibu na hili - mwisho eneo la TAZARA. Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ninauza external harddriiive transcend oneterrabyte kwa yeyeote muhitaji contact 0717 95 70 70 ni mpya na iko na seal zake kabisa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu!!! Nahitaji gari tajwa hapo juu. Iwe katika hali nzuri, bajeti yangu ni 6m
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eneo lipo kibaha misugusugu hekali mbili liko barabarani hekali mbili na robo linafaa kwa sheli hata godown etc.....mwenye kuhitaji anipigie kwa namba hii 0713935738
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwanza kabisa nafahamu madalali watakuwa wakwanza kunijibu na kunipeleka sehemu ambazo ziko kwenye mpango wa kutouzwa. Kwa hiyo nawakanya mapema maana nishapelekwa sehemu nikaokolewa na mwenyeji...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
WANA JF naamini kuna wataalamu wengi tu wanayoyafahamu vizuri magari haya Toyota GAIA na Toyota OPA,naombeni mnijulishe ubora/uzuri na ubaya/matatizo ya magari haya bse nataka kuagiza. Natanguliza...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Dear Colleague JF Members, Greetings to all, I expecting that this good news find you well. I am writing this to you being an information that there will be a Research Methodology...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
hello, natafuta nyumba ya kununua maeneo ya mwenge,savei, ubungo,kinondoni na tabata, bei ya mtanzania wa kawaida sina mamilioni jamani, budget ni 35-45 m.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kiwanja kina ukubwa wa mita 30 kwa mita 20, kimepimwa na kina hati, kipo umbali wa km 2 kutoka barabarani kimepakana na kota za NSSF bei ni million 8. kwa anaekihitaji apige namba 0713872828...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
anayeuza android tablet isiyozidi laki 4, lakini iwe ina-support 3G. Kama unazo niandikie aina yake na bei yako unayouzia
0 Reactions
1 Replies
917 Views
Wana Jf habari zenu. Ninatafuta mashine ya kusagia karanga inayo tumia umeme ambayo isha tumika yani Used iwe tu katika hali nzuri pia kwa bei nafuu ili niokoe mladi ya mladi imekufa msaada...
0 Reactions
1 Replies
838 Views
kiwanja kipo mbagala kimepimwa, kipo pembezoni mwa-bahari, square meter 2028 na pia kina hati zote.............mawasiliano 0755-517964
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The First, Mjimwema Pharmacy is now for sale, the pharmacy is strategically located at a busy junction of kongowe and gezaulole roads at Mjimwema,Kigamboni. Price is negotiable, for serious...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
NATAFUTA DESIGNER ku DESIGN DUKA na DISPLAY YA DUKA , kwajili ku display vitu za showroom! Ikuwe professional. Call 0784 76 87 86.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninauza CPU ya Hp gb 80 Ram gb 1 na processor 3.20 kwa 140000 bila punguzo anayehitaji tafadhari wasiliana nami kwa 0764435828 au 0718512630
0 Reactions
2 Replies
843 Views
Wakuu heshima mbele. Kuna viwanja vilivyopimwa vinauzwa Mkuranga kuanzia square meter 500 hadi 1000 na kila square meter moja ni shilingi 5,000/= . Kwa mawasiliano pm inahusika zaidi Nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauza samsung galaxy s2, brand new, black colour. Iko kwenye box with all accessories. Kama uko interested nipm , or contact 0717301520
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Blackberry Bold 9000 (QUICK SALE) Special price 200,000tshs only !!!! (phone excellent condition, housing needs to be changed)... price is throw away and wont stay same for long! call 0784768786
0 Reactions
1 Replies
921 Views
UNATENGENEZA NYUMBA ? TUNA DEAL- * MADIRISHA ZA ALUMINIUM NA ZA UPVC. * TILES NA SANITARY * WOOD FLOORING * GLASS BLOCKS * SUSPENDED CEILINGS NA NK. WASILIANA- inf@decortz.com 0655 76 87 86.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Enaeo la hekari moja linauzwa lipo Miembe saba kwa Mathias 0.5km toka barabara ya morogoro road bei ni maelewanao kwa mawasiliano 0713099463
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…