Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mzani original wa vito na dhahabu ( 0.01g - 500g) kwa Tsh 35000/= tu. Piga 0654669370 ukihitaji
0 Reactions
1 Replies
486 Views
Hizo laptop 2 zimeibiwa jana usiku maeneo ya Kinyerezi. Sasa hiyo Packard Bell ni computer rare kidogo, hivyo kama kuna mtu utasikia anaiuza leo au zote mbili kwa pamoja, basi nitonye, kuna...
7 Reactions
5 Replies
894 Views
Simu ni Samsung Galaxy A21s RAM 4GB STORAGE 64
2 Reactions
4 Replies
892 Views
Habari wandugu , Nauza. SEA PIANO (as seen) from pictures.. Mwaka wa manunuzi ni 2023 , inauzwa , full box..... BEI 150,000/= Bei NOW. 120,000/= Inapatikana moshi. Mjini mtaa wa shana...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Karibu mafuta mwali ya Nazi, kwa utunzaji wa ngozi na kuipa unyevu muda mwingi, mafuta haya ni mazuri kwa ngozi na nywele, wanaitumia watoto na wakubwa, wanawake na wanaume. Yana mchanganyiko wa...
4 Reactions
9 Replies
687 Views
✓ Hufanya computer kuwa slow. ✓ Hufanya kompyuta kuchemka sana. ✓ Hufuta data na mafaili katika computer. ✓ Huleta madhara ya kudumu kwenye hard disk ( permanent hard disk damage). ✓ Huingilia na...
0 Reactions
0 Replies
538 Views
Vitambaa vya kutengenezea makanyagio na ubunifu wa mapambo yapo Kwenye kiloba cha kilo 25, njoo na ofa yako. Location: Kigamboni (Kichangani) Number: 0759448927.
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Bidhaa hii adimu naweza kupata wapi mteja anaenunua kwa jumla. Cuttlefish Squid bone for pets like birds tortoise snails chicken etc. Product code: #gDnE4u_5G1
0 Reactions
3 Replies
574 Views
Hivi soko/duka la biashara hii ya seashells (makome) hupatikana Wapi kwa hapa Dar es salaam/Zanzibar.? Lakini pia ✓Je inahitaji kibali cha kukusanya/kusafirisha? ✓Wapi ninaweza kuuza kwa...
2 Reactions
37 Replies
4K Views
Salaam Wakuu Nauza Kiwanja shilingi milioni 7.5 fixed Arusha mjini. Mahali Kilipo ni Engosheratoni Kata ya Sinoni Arusha. Ukubwa wa Kiwanja ni 550sqm. Haki miliki ya kiwanja kinatambulika na...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
Lovely decorated apartment located at Kinondoni vijana, comes with one bedroom ( ensuite ), livingroom, Kitchen along with indoor shared toilet. It includes security guards, parkingspace...
0 Reactions
4 Replies
731 Views
Habari zenu wa JF? Nina baadhi ya thamani za ndani kama mnavyo ziona KABATI la vyombo size 5X6 kama mnavyo liona, hilo ni full mbao sio zile za kuunga MEZA kubwa ya kioo, tena kile kioo kikubwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Gari hii ni mpya kabisa Kabisa mjini hapa ina miezi mitatu ni EDT Engine CC1590 KM 52,000
1 Reactions
17 Replies
935 Views
Plot in Sinza Size 480 Sqm Document Tittledeed Price Tshs 200,000,000 (200 Milions) Hotline - 0679268006 | 0686648630
0 Reactions
5 Replies
626 Views
Nauza sabuni nzuri za kusafishia tiles na msink,sabuni za maofisini kudekia na sabuni za vyombo litre 1 3000 Litre 5 10000 Pia tuna viungo vizuri cha chai,pilau na mchuzi mix karibuni sana Pia...
0 Reactions
0 Replies
361 Views
Nauza Oppo A57, Storage yake ni 64gb kwa Tshs 180,000 tu. Mzigo upo Clean Sana, Nichek 0654506090 au WhatsApp+255763546090. Tunafanya Delivery na Mikoani tunatuma kwa Uaminifu mkubwa[emoji120]
2 Reactions
10 Replies
942 Views
Kumaliza tatizo la halitosisi na kinywa kwa ujumla inawezekana. Ni wewe tu!!! FOREVER BRIGHT TOOTH GEL Bidhaa ya kusafisha meno iliyotengenezwa kutokana na stabilized Aloe Vera Gel pamoja nabee...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari wakuu Nauza camera kali details hizo hapo chini NIKON D5300 BEI 800,000/= IMETUMIKA KWA MIEZI 3 TU INAKUJA FULL BOX BILA LENS LAKINI UKITAKA NA LENS YA 18-55mm UNAONGEZA 200,000 KWENYE...
0 Reactions
3 Replies
721 Views
ZINGATIA: Hakuna mafanikio yanayokuja kiurahisi, utahitaji juhudi, muda, uvumilivu na kujifunza Zaidi mpaka kupata matokea hivyo usitegemee kupata matokeo ya haraka unapoanza kufanya ishu yoyote...
2 Reactions
187 Replies
25K Views
Wadau! Ninatafuta Arabian Sofa. Wapi ninaweza kupata katika miji ya Dar, Arusha, Moshi na Dodoma?
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…