Hello..Nawasalimu sana na hongereni kwa shughuli za kulijenga taifa.
Naomba mwenye taarifa yoyote kuhusu fremu kariakoo aniPM please nahitaji kwa ajili ya biashara ya nguo. NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.
Nna Dell Inspiron, maroon in color, used a bit with windows 8 operating system,webcam,ram 2 gb, hdd 250gb, procesor 2.13ghz, wide screen ya 15'', starting price at 500,000Tsh..nipo Dar,,,PM if...
Kwenu wadau nna computer desktop kama zle za benk ambazo CPU yake inakaa nyuma ya screen au vinaambatana hard disc ni 120GB, ram 2GB, iko safi haina tatzo lolote bei ni 250,000 haipunguzwi nicheki...
Nyumba ipo mbezi mwisho kibanda cha mkaa ina sifa zifuatazo
0.5 toka barabara kuu lami .
vyumba 3 vya kulala 1 master
sebule , jiko , luku ya kujitegemea , haina ukuta ila gari inafika mpaka...
Kwa mahitaji ya kutengezewa mageti ya milango, grili za madirisha, vitanda vya chuma vya kawaida hata vile vya hostel kwa ajili ya wanafunzi ( double deck),vibanda vya biashara, mageti ya ku-slide...
Nyumba kubwa inauzwa inavyumba 14 vi8 kwenye nyumba kubwa na 6 vya uwani na uwanja kwajili ya parking bei mill 95 kwa mwenyekuitaji kujenga nyumba anayo itaji basi anaweza vyunja kwani nieneo...
Hello,
I urgently need a digital audio cable to link my tv to the home theathre.
Attaching sample pic, please pm if you have have a clue of where to get it here in dar es salaam.
The building is adjasent to bagamoyo road equiped with stand by generator and large parking space, price 12 usd per square metre+vat for interested person contact 0714 104 788
Ina vyumba vitatu vya kulala kimojawapo kikiwa self contained. Ina jiko, sehemu ya kulia chakula na subure. Imekamilika. Mbele yake kuna msingi wa nyumba nyingine. Kiwanja kina hati miliki. Bei ya...
Wapendwa wa jamii forum,
Naona watu wengi wanaweka matangazo hapa kwa Jf ila zaidi ya 80% hawajui nini kinatakiwa kujumuishwa ili uweze kuuza bidhaa yako.
Kama upo serious kuuza chochote...
Habari wadau,kwa yeyote anayehitaji fundi wa kupaka rangi nyumba,chumba,fremu au godaoni au jengo lolote,bei maelewano,
Fundi yupo maeneo ya mwananyamala/Kinondoni
simu namba 0652127628
Waungwana Khabari zenu!
Wanasema kizuri kula na mwanzio kibaya mpe mmbwa!
Sasa yule supplier mkubwa wa suits kwa botiques nyingi hapa jijini nimemfuma! (Katika kusaka suti ya harusi ya shemeji...
Milembe Insurance Company is recruiting Insurance agenciesfrom all Tanzania regions.
Qualifications;
Principal Officer should hold (a) Secondary EducationCertificate with at least five passes...
TOYOTA RAUM NEW MODEL
Year: 2004
Colour: silver
Km : 66,000
Price: 11,000,000
Ac. automatic,cd ,
automatic door open
cc: 1498
contact; 0657 145555 or 0755 099291, 0772 008866
Tupo kinondoni A...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.