....wapi itapatikana nyumba...

....wapi itapatikana nyumba...

mymy

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
296
Reaction score
112
habari wana jamvi. naomba kuuliza kuna uwezekano wa kupata nyumba eneo la nje ya kidogo ya dar kwa milioni kumi? sio mpya ni zile ambazo ukinunua lazima ufanye marekebisho.....
 
ndiyo kiongozi mi ninazo kama vp nipigie tuongee 0657 145555, 0772 00 88 66
 
Bei ya kiwanja hiyo niPM upate kiwanja Gezaulole 900m[SUP]2[/SUP] Low Density
 
Mkuu kuna nyumba ndani ya kiwanja cha robo eka Chanika kinauzwa eneo ni zuri sana lenye umeme, unaweza kuikarabati hiyo nyumba au kuiongezea ukubwa kadri unavyopenda au hata kujenga nyumba nyingine kubwa pembeni yake kwenye kiwanja hicho hicho kilichobaki, bei mnaweza kuelewana ukalipa hiyo uliyonayo na kuchukua kisha utamalizia nyingine baadae kwa muda wako maana bei imezidi kidogo milioni kumi ila ni mjini tu na wala hutajutia uamuzi wako maana huduma zote zipo na ni karibu na barabara, mwendo wa dakika tatu hadi tano kwa miguu kutoka kituoni Chanika kwenye barabara ya rami. Piga namba 0715 597591
 
habari wana jamvi. naomba kuuliza kuna uwezekano wa kupata nyumba eneo la nje ya kidogo ya dar kwa milioni kumi? sio mpya ni zile ambazo ukinunua lazima ufanye marekebisho.....

Nyumba ipo pugu kigogo unapovuka reli ya tazara.Nipigie 0718908594
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom