Kiwanja chenye nyumba kinauzwa chanika

Kiwanja chenye nyumba kinauzwa chanika

Sawia

Senior Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
129
Reaction score
40
Wakuu nauza kiwanja chenye nyumba ndogo yenye vyumba viwili na sebule cha ukubwa wa robo eka Chanika karibu na kituo cha daladala cha Chanika. Eneo ni zuri sana watu wamejenga majumba mazuri ya kifahari. Ninauza kwa sababu ya matatizo tu ya dharura yaliyonitokea. Bei yake ni sh. milioni 15. Bei inaweza kupungua kwa majadiliano kwa yeyote atakayehitaji tuwasiliane kwenye namba hizi: 0715 597591 au 0712 994383 au 0652 506049. Picha nitawatumia baadae kidogo.
 
Picha ninayo wakuu ila bado mtandao unasumbua kui attach. Pia umeme upo.
 
Picha ninayo wakuu ila bado mtandao unasumbua kui attach. Pia umeme upo.

Ej+fwPOrrpY50CNtEAAAAASUVORK5CYII=


Wakuu nimeweka picha ya kiwanja. Nategemea ushirikiano wenu. Kama nilivyoeleza mwanzo maelewano yapo hivyo bei inaweza kupungua maana nauza kwa sababu ya shida ya haraka tu.
 
Wakuu nauza kiwanja chenye nyumba ndogo yenye vyumba viwili na sebule cha ukubwa wa robo eka Chanika karibu na kituo cha daladala cha Chanika. Eneo ni zuri sana watu wamejenga majumba mazuri ya kifahari. Ninauza kwa sababu ya matatizo tu ya dharura yaliyonitokea. Bei yake ni sh. milioni 25 majadiliano yapo kwa yeyote atakayehitaji tuwasiliane kwenye namba hizi. 0712 994383 au 0652 506049 au 0715 597591. Picha nitawatumia baadae kidogo.
Kina hati au leseni ya makazi?
 
Wakuu nawashukuru sana wale wote waliopiga simu na kuja kukiona kiwanja pia wale walioahidi kuja na walioweka ahadi ya kununua. Naomba mjitahidi ndugu zangu mlioahidi maana watu bado wanaendelea kuja kuona na sitaweza kuwazuia hadi pale nitakapopokea malipo, maana kama nilivyowaeleza awali ninakiuza haraka kwa sababu ya matatizo ya dharura yaliyonitokea.
 
Bado hajapatikana mnunuzi wakuu. Yeyote anayetaka kununua hata kwa pesa kidogo kidogo (malipo kwa awamu) anakaribishwa sana. Kwa mawasiliano ya haraka piga simu namba 0715 597591.
 
Wakuu bei imepunguzwa sana karibu na bure na unaweza kulipa kidogo kidogo kulingana na uwezo wako. Karibuni sana.
 
Imepunguzwa hadi Tsh ngapi?

Kutoka mil. 25 hadi Mil. 15 Mkuu, angalia juu nime edit, hiyo bei ni sawa na bure kabisa kwenye eneo hilo na ukubwa wa kiwanja na nyumba iliyopo, kuna access ya huduma zote, ni kwa sababu ya shida tu, pia mnunuzi anaweza kulipa kidogo kidogo kulingana na uwezo wake.
 
Wakuu nawashukuru sana kwa ushirikiano mkubwa mlionionyesha kuanzia hapa jamvini kwenye post hii hadi kwa wale wengi mlionipigia simu. JF ni kila kitu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom