Wapendwa natafta used furniture za ofisini nataka viti,meza zenye droo, na kabati ya kuhifadhia documents ziwe kwa bei rahic mwenye Nazo anipm lakini sitaki za wizi,
Pia natafuta sehemu ya kurent...
Nahitaji laptop ya samsung NP 530 i5, Projector ambayo inaruhusu wireless na samsung tablet 10.1 best price na viwe ktk hali nzuri...humble2080@yahoo.com
Habari zenu Wakuu,
najitokeza humu leo kuhitaji fremu/chumba cha biashara. Iwe ndani ya wilaya za aidha Temeke au Kinondoni.
Fremu hii isiwe kubwa saana wala kasiwe kadogo saana iwe ya wastani...
Nafundisha course ya computer kwa kuwaandaa wanaotaka kujiajiri na kufungua secretarial/stationeries.
Sitoi cheti ila nakujaza uelewa wa hali ya juu wa matumizi ya computer.darasa lenyewe ni...
Nafundisha course ya computer kwa kuwaandaa wanaotaka kujiajiri na kufungua secretarial/stationeries.
Sitoi cheti ila nakujaza uelewa wa hali ya juu wa matumizi ya computer.darasa lenyewe ni...
tumefungua ofisi mpya na hivyo tunatafuta
1.meza MOJA kubwa ya wastani yenye double droo kulia na kushoto ,bajeti yetu @ TSH 80,000/=
2.viti viwili vikubwa wastani vya kuzunguka, bajeti @TSH...
:lalala: GARI INAUZWA
Ni aina ya nissan patrol safari, super roof
Sifa:
green colour
10passangers
engine 42D
4wheel drive
right steealing
cc 4500 fuel injection
diesel
5 doors
Full AC
Manual
Its...
Mimi nipo hapa Kalangalala,Geita! Kama kuna mtu anauza simu aina ya X2 tujulishane,natafuta ya kununua(used)! Kama inapatikana ,naomba kujulishwa kwa nambari 0759947397
Habari waungwana.
Dili kubwa la pasaka, Nyumba ya vyumba 3 vya kulala, sebule, vyoo, stoo kila kitu, tofali za cement, imeshawekwa bati, na kuna eneo la kutosha linazunguka, mtaa wa pili toka...
Nanunua motherbord za computer..radio...Tv na sim zilizo kufa kwa wingi wowote ulio kua naao.
Kwa mawasiliano ni sms au whatsapp kupitia namba hii ya simu 0713935738
Nyumba hii inauzwa ipo vingunguti karibu na sheli jijini dar es salaam bei ni maelewano kwa mawasiliano zaidi wasiliana katika namba 076437001,au 0718 370001
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.