stineriga
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 2,172
- 892
tumefungua ofisi mpya na hivyo tunatafuta
1.meza MOJA kubwa ya wastani yenye double droo kulia na kushoto ,bajeti yetu @ TSH 80,000/=
2.viti viwili vikubwa wastani vya kuzunguka, bajeti @TSH 50000
3.shelf mbili za vioo vya kuslide bajeti yetu @TSH 80,000/=
viwe vipya , kama ni used viwe kwenye hali nzuri , havina michubuko.
najua vinapatikana madukani, ila huko madukani bei ipo juu sana, na ofisi ni changa na mpya kwahiyo tukivipata kwa bei rahsi itasaidia kupunguza gharama.
Hatutaki vya uwizi. Kama unacho/unavyo labda ofisi mmefunga, imehamishwa au huwa unauza ni biashara yako tuwasiliane. au kama unayo taarifa ya mnada mhali fulani tujulishe tafadhali.
Tafadhali kama post haikuhusu ipitie mbali.
send me private message , au you can call or text me 0787-865-511
1.meza MOJA kubwa ya wastani yenye double droo kulia na kushoto ,bajeti yetu @ TSH 80,000/=
2.viti viwili vikubwa wastani vya kuzunguka, bajeti @TSH 50000
3.shelf mbili za vioo vya kuslide bajeti yetu @TSH 80,000/=
viwe vipya , kama ni used viwe kwenye hali nzuri , havina michubuko.
najua vinapatikana madukani, ila huko madukani bei ipo juu sana, na ofisi ni changa na mpya kwahiyo tukivipata kwa bei rahsi itasaidia kupunguza gharama.
Hatutaki vya uwizi. Kama unacho/unavyo labda ofisi mmefunga, imehamishwa au huwa unauza ni biashara yako tuwasiliane. au kama unayo taarifa ya mnada mhali fulani tujulishe tafadhali.
Tafadhali kama post haikuhusu ipitie mbali.
send me private message , au you can call or text me 0787-865-511