NATAFUTA FREMU DAR es Salaam

NATAFUTA FREMU DAR es Salaam

Sultan Kipingo

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
238
Reaction score
179
Habari zenu Wakuu,
najitokeza humu leo kuhitaji fremu/chumba cha biashara. Iwe ndani ya wilaya za aidha Temeke au Kinondoni.
Fremu hii isiwe kubwa saana wala kasiwe kadogo saana iwe ya wastani tu kwa ajili ya biashara ya bidhaa ndogondogo za majumbani.
Wasiliana nami kupitia email hii
manmasu61@yahoo.com
 
Back
Top Bottom