Nanunua motherbord za computer..radio...Tv na sim zilizo kufa kwa wingi wowote ulio kua naao.
Kwa mawasiliano ni sms au whatsapp kupitia namba hii ya simu 0713935738
Nyumba hii inauzwa ipo vingunguti karibu na sheli jijini dar es salaam bei ni maelewano kwa mawasiliano zaidi wasiliana katika namba 076437001,au 0718 370001
Habari wanaJF! kutokana na matatizo niliyoyapata katika Biashara zangu, natangaza kuuza nyumba ambayo ilikuwa bado kidogo kukamilika. imepauliwa, ina vyumba vya kulala vitatu, viwili ni futi 10...
Lg gw620 Rangi nyeusi
Tach skrin na inaslid kwa pemben
Maelezo IPO DAR ES SALAAM
Legel information
System tutorial
Divx vod regislation
Model numbel gw620
Firmware version 1.5
Kernel...
Nauza gari aina ya Corrola X
Ya mwaka Mwaka 2004
Kilometa 53,000
Engine CC 1500
Ni Mpya kabisa, ndo kwanza imetoka bandarini
Kwa mawasiliano piga namba 0713-757491
NB: Hakuna udalali
hi wale wenye iphone., ipad, ipodtouch hauitaji tena kununua apps from itunes nicheck kwa namba yangu nikufanyie mautundu upate vyote buree ada tutaelewana 0656 646141
ina vyumba 3, master 1, sitting na dinning room. Ina choo cha nje na ndani. Ina fensi ya ukuta na geti kubwa. Ina maji na umeme. MAHALI ILIPO PANDA DALADALA ZIENDAZO MGENINANI (UKIWA MAENEO ZA...
wanajamii incubator za umeme kuanzia mayai 264 kwa laki 9
na mayai 176 kwa laki 7
na mayai 24 laki 5
made in china aprroved na serikali ya china
full automatic za zinachukua mayai ya kila aina...
Wakuu kazi ninayofanya inahitaji gari ambalo lipo juu kidogo, so gx 100 inapata shida sana. Naomba mtu mwenye hiyo gari tajwa hapo juu ambalo lipo kwenye hali nzuri anichek tufanye biashara kwa...
Kwa yeyote mwenye nayo au anafahamu mahali naweza kupata hiyo dublicating machine pale Arusha anisaidie nahitaji kwa ajili ya shule ya sekondari pasipo na umeme. Iwe used inayofanya kazi vizuri au...
Legacy Impresion Company, ni kampuni iliyosajiliwa kisheria, inapatikana eneo la Kijitonyama.Dar es salaam na inafanya shughuli za "Printing, Graphic Design, Webtech na Stationeries"...
nauza shamba maeneo ya chanika majumba sita
shamba lina ukubwa wa heka 2
pia lina minazi 2, mikorosho 4 na mimbe midogo 2
pia kuna mihogo ila haijapaliliwa
bei milioni 6 ila maelewano yapo
namba...
Shamba heka kumi,lipo maeneo ya Msowelo mkoani Morogoro pembezoni mwa mto Msowelo linauzwa,linafaa kwa kilimo cha umuagiliaji maji hasa bustani na kilimo cha mahindi,bei inaanzia 400,000/= kwa...