Habari wanaJF! kutokana na matatizo niliyoyapata katika Biashara zangu, natangaza kuuza nyumba ambayo ilikuwa bado kidogo kukamilika. imepauliwa, ina vyumba vya kulala vitatu, viwili ni futi 10 kwa 10, masterbedroom ni futi 18 kwa 12, jiko na store. Ina bafu na choo, ipo kwenye eneo la mita 30 kwa 20, kuna miti na mihogo. Ipo Saranga karibu na Temboni, pia kuna njia ya kupitia kinyerezi mwisho. Ipo barabarani na gari linafika. Bei ni Tsh milioni 30. maelewano yapo. karibuni.