Nimejaribu ku2ma post hii kwa mara ya kwanza,nimempata Jamaa yupo Dar(jalem),aliniambia anayo lakini nimem_PM hata hakunijibu tena! Natafuta sana hyo simu,naombeni msaada wenu,si lazima iwe mpya!
Wakuu...
habari za wikiend? kuna mdau mmoja anataka kuwekeza hapa Dar es Salaa, anatafuta plot iliyoko maeneo ya ufukweni kwa ajili ya kufungua PUB na Restaurant... ikiwa na ukubwa wa 100m x 50m...
Nauza jiko kwa ajili ya kufanyia biashara ya bakery.Jiko hili lilitumika Uingereza na lipo katika hali nzuri kabisa na litaendelea kufanya kazi kwa miaka mingi tu.Vitu vyao hivi kiukweli ni...
Nauza External Portable Power Bank Backup Battery Charger kwa njia ya mnada. Kushiriki mnada huu tembelea hii link External Portable Power Bank Backup Battery Charger uweke dau lako na ukishinda...
Nahitaji kununua simu iwe kati ya aina hizi Huawei,ideos,samsung.kigezo iwe inauwezo wa Ku-download Whatsapp,Bei isizid 150 tafadhali nisaidie....!!!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
hallow jamii forums,
As the heading say i am selling harrier model year: 2002. the car is in a very good condition. It have been imported in the country 12 December 2012 and all the duties have...
Makabati ya watoto mazuri na ya kisasa, yanapendezesha nyumba sana.... Unaweza kutumia kuwekea vitu vya mtoto... Km nguo zake, sabuni.....na kadhalika na hata watu wazima wanaweza kuwekea vitu...
Wadau,
Nahitaji Laptop. Pamoja na mambo mengine, the following specifications are mandatory:
RAM: At least 2 GB but 4 GB preferred
Hard Disk: At least 500 GB
Processor: Duo core, at least...
Niana ya hp,nimetumika kwa mda wa miezi 6,ninzuri na haina mchubuko hata kidogo,nzuri ukubwa 2gb,bei haipungui,mwenye kutaka PM,inaprogram zote
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Pata kitabu kizuri cha Chemistry. kiitwacho New Certificate Chemistry cha Holderness n. Lambert......kitabu hiki kinafaa kwa wanafunzi wote wa A level na O level wanaosoma Chemistry bei yake ni...
Hp530 intel duo core 1.6ghz ram 1gb harddisk 100gb win7 battery imekufa na dvd drive ya kutengeneza ila vingine poa whatsapp 0713522445 bei negotiatable
Kwa wale wanaofanya ufugaji kuanzia maeneo ya ubungo mpaka kibamba;napenda kuwajulisha kwamba nimeanza kuzalisha vyakula vya wanyama wote wanaofugwa i.e. ng'ombe, nguruwe, mbwa etc.
Bei ni nafuu...