Wema vs Jokate

Wema vs Jokate

longT

Member
Joined
May 10, 2012
Posts
33
Reaction score
17
wema-vs-jokate.jpg

Diamond alitaka wote.. wewe ungemchagua nani? Piga kura yako apa 360VOTES | Jokate Vs wema sepetu
 
View attachment 89290

Diamond alitaka wote.. wewe ungemchagua nani? Piga kura yako apa 360VOTES | Jokate Vs wema sepetu


Mbona they are all ugly. Sioni mzuri hapo, samahani ni mtizamo wangu tu. Hata ukinipa wa bure sichukui haki ya Mungu, they are ugly tena ukichanganya na mkorogo ndiyo kichefuchefu kisichokwisha. Diamond hata akitoka na mwanamme mwenzake ni poa, just look at his face. Kwa hiyo usimshangae kupenda hawa mademu.
 
Acha iduwanzi joket ni moto wa kuotea mbali . Huwez kumliganisha na wema hata kidogo.
 
Wote takataka, labda uwaweke nancy na anty mandonza
 
Mbona they are all ugly. Sioni mzuri hapo, samahani ni mtizamo wangu tu. Hata ukinipa wa bure sichukui haki ya Mungu, they are ugly tena ukichanganya na mkorogo ndiyo kichefuchefu kisichokwisha. Diamond hata akitoka na mwanamme mwenzake ni poa, just look at his face. Kwa hiyo usimshangae kupenda hawa mademu.
mmh weka picha yako.
 
jokate nae unamwekanhapa, hana kitu analazimisha mambo, hata mvuto hana, siwema habari kubwa, kiditi hamkuti wema hata kwa karibu
 
Mbona they are all ugly. Sioni mzuri hapo, samahani ni mtizamo wangu tu. Hata ukinipa wa bure sichukui haki ya Mungu, they are ugly tena ukichanganya na mkorogo ndiyo kichefuchefu kisichokwisha. Diamond hata akitoka na mwanamme mwenzake ni poa, just look at his face. Kwa hiyo usimshangae kupenda hawa mademu.

Hahahaa..Sizitaki mbichi hizi!!
 
Kama ni looks unaangalia mimi namchagua Wema Sepetu.

Lakini kama ni katika kutafuta maisha mazuri na kuyaishi me nadhani kila mmoja is best at what she does.

Jokate anafanya vizuri on mambo ya urembo na mavazi na utangazaji (Her Own Life Path)

Wema anafanya vizuri on Uigizaji na si ni juzi tu alizindua ofisi yake? Pia mambo ya kijamii anafanya vyema (Her Own Life Path).


Na kama kigezo ni hizo picha ulizoweka hapo still ningemchagua Wema.

Wote wako vizuri na wote wanaendesha maisha yao kujipatia kipato chao, tofauti sana na wengi wetu tulobaki kuchangia ambao bado ni tegemezi sana kwa Wazazi, ndugu wa karibu au marafiki.
 
Hii haifai jukwaa la matangazo madogo madogo. iende celebrities au hata udaku na jokes maana wawili hawa hawawezi kufananishwa, kuna mmoja anatukanwa.
 
Back
Top Bottom