Iphone 4 GB32 inauzwa Tsh 200,000.

Iphone 4 GB32 inauzwa Tsh 200,000.

chinga4

Senior Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
131
Reaction score
58
Sababu za kuuzwa bei hyo ni kwamba ina tatzo la sauti, ukipiga au kupigiwa hausikii sauti. Ila kuhusu CARRIER NETWORKS inaunga line zote, na unaitumia JF, Whaatsap, badoo, FB, twitter, instagram, etc. Ila tatzo n kusikia pnd unapopga. Ukiinunua ukubali kuitumia kama IPOD na kwa ajili ya Intanet. Ila sauti ndo tatzo. Kwa muhtaj anicheki kwa. PM,

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom