Nauza kiwanja mbezi mwisho (maramba maweili)

Nauza kiwanja mbezi mwisho (maramba maweili)

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,125
Reaction score
2,449
Nauza kiwanja changu mbezi mwisho, maramba mawili, ni tamambarare, bei M5 na nusu maongezi yapo ni kizuri na utakipenda, hali si nzuri sana ndo mana nauzia shida wahi sas mawasilian pm
 
Hilo jina la wapi ndugu yangu? Hakuna kitu kinaitwa maramba maweili ila kuna sehemu inaitwa Malamba Mawili. Hebu eleza vizuri ukubwa wa hicho kiwanja, na sehemu kilipo hasa kwani Malamba Mawili ni kubwa.
 
Nauza kiwanja changu mbezi mwisho, maramba mawili, ni tamambarare, bei M5 na nusu maongezi yapo ni kizuri na utakipenda, hali si nzuri sana ndo mana nauzia shida wahi sasa, mawasiliano
0684448888 Jina ATHUMANI YOSIA, Nyingine 0714993030 (mdogo wangu)
Ukubwa wake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom