Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habari wadau natafuta taa za mbele(kubwa) za gari aina nissan cube msaada please
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Camera 5 megapixel, storage 8 GB..text 0685072527..maelezo mengine google..inauzwa handset tu..simu ipo kwenye hali fresh snaps hizo hapo..inapatikana DSM..
0 Reactions
0 Replies
965 Views
8 GB Adata flash disk - 13,000 Order NOW thank me later: Call 0658663325
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari zenu wakuu? naombeni msaada nataka nianze maisha sasa kwaio nahitaji kiwanja. Maeneo tajwa na maeneo mengine ambayo bei iko nzuri. bei yoyote tuu lakin isizidi mil 6. kama una deal au...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Samsung Galaxy S4 (Tsh 1m) na S3 (Tsh 750,000) mpya kwenye Boxes zinauzwaaa. U can PM me if ua interested, warranty mpaka Unaibiwa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gari inauzwa TZS 8 mil Make: Toyota Phone Number: +255 717 522 964 Model: Nadia Email: danrimedr@gmail.com Model...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna nyumba ipo Ukonga Mazizini yenye vyumba 4, ina umeme na imejengwa kisasa. Bei yake ni shilingi 30,000,000. Kwa mawasiliano piga namba 0788 883962.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni pm wkuu...... +255 756 412 337
0 Reactions
0 Replies
665 Views
habari wadau, natafuta taa za gari (NISSAN cube)za mbele kubwa msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MITSUBISHI L200 4LIFE, MANUFATURED IN 1999....JUST IMPORTED TODAY 17/07/2013 FROM THE UK, DUTY PAID, COMES WITH BLUE AND SILVER, 2.5cc TURBO DIESEL, MANUAL TRANSMISSION, DOUBLE CAB WITH MATCHING...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi kuweni makini sana na wanaotangaza kuuzwa kwa mashamba nk, majuzi nilienda mwanza, nilipofika mwanza nikapelekwa sehemu ambako nilitaka kununua kama heka5 za shamba maana sehemu yenyewe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Shamba la ekari 6 linauzwa maneromango lipo karibu na barabara. Bei ni milini 6. Unaweza kulima karibu mazao yote kuanzia mahindi, karanga, matikiti, ngano, alizeti nk. Unaweza kupiga au kunitext...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau nina bidhaa ya UNGA WA UBUYU, natafuta soko, ninao unga wa kutosha na bado naendelea kuuzalisha, mwenye kuhitaji awasiliane nami kwa namba zifuatazo 0712700280/0766550881. Napatikana Dodoma...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wakuu, Kuna shamba la ekari 100 linauzwa katika kijiji cha kidomole karibu na itakapojengwa bandari mpya bagamoyo. Ukihitaji kwa ekari ni laki 5 tu na ukinunua kuanzia ekari 20 bei inapungua...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
wakuu nimetafuta ol most maduka yote ya vifaa vya computer head phone zinaitwa ucom please if any one anajua wapi naweza kupata anijulishe tafadhari
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Habari zenu wakuu, Ndugu zangu kuna viwanja viwili vinauzwa kwa 7.5m na 10m,vipo MAKOKA MWISHO sehemu tambarale,kwenye hiyo bei pia maongezi yapo hivo bei ni maelewano! Kwa anayehitaji wasiliana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wapenzi wa smart phones, deal kwenu/iko wazi. Please let me know!
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Total - 100 Sq meters of space Divided into 5 separate units, each with locking door Prime location - in clock tower area (India Street) Modern office, good view, clean and secure Comes with two...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Plots zinauzwa zipo kisongo town HApa Arusha Kwa maelezo zaidi piga 0757888443 Asante
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Wakuu habari zenu, Napenda kujitambulisha kama mwanachama mpya hapa Jamii Forum. Naamini nitajifunza mengi zaidi kama mwanachama kuliko awali nilivyokuwa nachungulia tu kwa juujuu. Asanteni...
0 Reactions
0 Replies
588 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…