Nyumba self contained inauzwa mbagala charambe

Nyumba self contained inauzwa mbagala charambe

LUTAMBI

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2012
Posts
233
Reaction score
103
HABARI ZENU WADAU..
Nyumba imara inauzwa ipo eneo la Mbagala Charambe, Ina vyumba vitatu, choo cha ndani ki1 na bafu 1, master ina store ndogo na choo chake, ina jiko la ndani na store store kubwa, ina sebure kubwa (futi 23 X14), full tiles, full gypsum, ina chuping imara, ina vibaraza mbele na nyuma, ilimwagwa zege kabla ya kuanza tofali za msingi, maji yapo karibu yanapatikana mda wote, ina umeme wa luku, shimo la choo lina urefu wa futi 12. Bei Milioni 45, tuwasiliane 0715719171 mimi sio dalali. Karibuni
 

Attachments

  • Photo0138.jpg
    Photo0138.jpg
    32.8 KB · Views: 85
  • Photo0142.jpg
    Photo0142.jpg
    45.7 KB · Views: 89
  • Photo0144.jpg
    Photo0144.jpg
    37.2 KB · Views: 86
  • Photo0146.jpg
    Photo0146.jpg
    43.8 KB · Views: 81
  • Photo0145.jpg
    Photo0145.jpg
    35 KB · Views: 97
Nyumba ipo kwenye kiwanja chenye ukubwa gani? Je ni eneo lililopimwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom