HABARI ZENU WADAU..
Nyumba imara inauzwa ipo eneo la Mbagala Charambe, Ina vyumba vitatu, choo cha ndani ki1 na bafu 1, master ina store ndogo na choo chake, ina jiko la ndani na store store kubwa, ina sebure kubwa (futi 23 X14), full tiles, full gypsum, ina chuping imara, ina vibaraza mbele na nyuma, ilimwagwa zege kabla ya kuanza tofali za msingi, maji yapo karibu yanapatikana mda wote, ina umeme wa luku, shimo la choo lina urefu wa futi 12. Bei Milioni 45, tuwasiliane 0715719171 mimi sio dalali. Karibuni
Nyumba imara inauzwa ipo eneo la Mbagala Charambe, Ina vyumba vitatu, choo cha ndani ki1 na bafu 1, master ina store ndogo na choo chake, ina jiko la ndani na store store kubwa, ina sebure kubwa (futi 23 X14), full tiles, full gypsum, ina chuping imara, ina vibaraza mbele na nyuma, ilimwagwa zege kabla ya kuanza tofali za msingi, maji yapo karibu yanapatikana mda wote, ina umeme wa luku, shimo la choo lina urefu wa futi 12. Bei Milioni 45, tuwasiliane 0715719171 mimi sio dalali. Karibuni