Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Toyata nadia inauzwa , bei makubaliano , automatic, mialage 41,200km,full ac , excellent condition, pia toyota land cruise vx , Tel 0713-95-92-90 , 0687-57-34-34
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau gharama ya kununua kiwanja ambacho hakijapimwa ni kubwa mno ikiwemo kubomolewa nyumba na kuambiwa matumizi ya hapo ulipojenga siyo makazi na hapawezi kupimwa. Hivyo basi tumeamua kuwaletea...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za leo wanajamvi? Naomba msaada wa kupata Msichana wa Kazi wa Uhakika. Mshahara ni maelewano, ila inaweza hata kufikia Tshs. 50,000, inategemea na uzoefu na ufanyaji wa kazi. Kituo cha...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Je unatafuta watu wa kukuandalia katika shughuli yako?..Unatafuta chakula kitamu lakini hujui wapi pa kuanzia? ...Kwa mahitaji ya huduma ya vyakula,vinywaji katika shughuli mabalimbali kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu haya yote yana umiliki wangu. Hakuna dalali. Nimekamatika nahitaji kujikwamua. Jichagulie ni ipi unataka then ni PM. Ukitaka yote au mawili nakupa bei ya fungu.
0 Reactions
24 Replies
8K Views
bado iko safi kabisa, inauzwa kwa shs 110,000/= cash. Nicheki hapa 0714-408238.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hi, anayeuza stima na vifaa vingine vya saloon za kike tutawasiliana
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima kwenu,Kuna mwenye kuuza zuku humu jamvini?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi,wana jf, Nahitaj mashine tajwa hpo juu ya kusukwa hapa tz na sio used.Nimeambiwa mwembe chai ila cjaona.Npo dsm 0717539573
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Bei 1.5M,call 0783145116 or 0756597108 if intrested,serious buyers ONLY please.Asanteni.Ni HONDA ACE CB125-D
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Wakuu nimezoea kuona haya madilisha ya aluminium ya rangi mbili nyeusi na nyeupe na hata kama utaona rangi tofauti kwa watengenezaji hazipo kama kuna mtu anafanya hii kazi na yupo mwanza...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nauza rav4, MWAKA 1998, RANGI. NYEUPE MILANGO 5 KM. 105000 Cc. 1998 Vibali vyote vina uhai hadi mwakani. Gari iko poa, Bei ni m11,
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nauza blackberry 9300,imetumika kwa miezi 5 tu ina vitu vifuatavyo: -Wireless Fidelity(wifi) -3G network -External memory 8gb nakupa na 2GB kama bonus -Ear phone -USB cable -Ina support...
0 Reactions
4 Replies
828 Views
:clock: Wapendwa wafanyabiashara wenzangu, ninaomba mtu awayeyote yule atakayekuwa ana laini ya TIGOPESA na anataka kuiuza kwa mtu au amesikia mtu anauza laini hiyo aniuzie mimi Namba zangu ni...
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Kama kunamdau anachoanijulishe
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Mitsubishi Pajero Short Chasis, inauzwa kwa bei ya sh. Million 7.5. Inatembea niko kwenye hali nzuri. Tatizo ililonalo ni la Umeme tu. Specifications: Deasel engine, Manual transmission, short...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
WanaJF natumai ni watu walioenda Shule na wenye Pro zao, yyt mwenye Dili anitonye linalohusu MECHANICS, DRILLING(MGODINI), au MARKETING RESEARCH OPPORTUNITIES, nilikuwa napiga kazi Mgodini NORTH...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Lina ekari 30,lipo along barabara ya Mkuranga-Kisarawe Road,100 mita kutoka shamba la Mama Salma kikwete.Umeme ushafika kijijini Hoyoyo.Linafaa kwa kuweka shule,yadi au kiwanda na kwa watu wa Real...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji battery ya hiyo mashine, mpya au used. Tuwasiliane kama unayo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta chumba cha kupanga, kinondoni, sinza, maeneno ya mwenge, na msasani. kiwe masterroom, hali nzuri, kinafikika kwa urahisi na kisiwe uchochoroni.Kuna mdau bachelor anahamia dar hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…