Nauza laptop HP ProBook 650 G3, Ina RAM 8Gb, hardDisk 128 SSD, Screen size 15.6 haina Scratch. Inakaa na charge masaa 4. Ina windows 10 Pro. Bei na laki 4(400,000)maongezi yapo. Ninapatikana...
KIBAHA KWA MFIPA(Upande wa chuo)
Heka 7, zimepimwa na Hati ipo
Umbali ni km 2.5 toka moro road
Bei ni million 126,000,000/=
Kupelekwa site ni 20k
0784376888/0744757738
Sent from my Infinix X657B...
Jibu la matatizo lipo Bora Computer Solution.
Tunatengeneza laptop na desktop aina zote kwa ubora wa hali ya juu, tunabadilisha Operating System(OS) kama vile Windows 7, 8, 10 na kwa mahitaji ya...
Natural Skin Solution yenye makao yake Kibaha Tanzania, tunapenda kutangazia wahitimu wa Clinical Officer au wanafunzi wa fani ya Clinical medicine ,tuna nafasi moja tu ya field au volunteer...
Samsung A13 dark blue color
Ni 64 GB, ram 4 gb.
Simu haina tatizo lolote, screen ipo safi.
Simu ipo Dar
Imetumika miezi 11.
Unapewa charger, box, risiti.
Muuzaji ana shida ya haraka kugharamia...
BMW 3 Series 2005 Engine 1900cc Inauzwa Million 12.5. Ipo kwenye hali nzuri kabisa na haina error yeyote kwenye dashboard. Inauzwa kwa sababu ningependa kununua gari kama hii ya miaka ya karibuni...
Kwa wale walaamu na wenyewe uzoefu wa hizi kazi za kudesign package za kupakia unga nk..’
Nataka mtu ambae anaweza kunidizainia package ya unga wa lishe yenye muonekano mzuri.
Nitumi sample DM...
TANGAZO TANGAZO KWA WALIMU WANAOHITAJI KUJIENDELEZA.
KAMPASI YA ADEM MBEYA IMEANZA KUTOA MAFUNZO YA 1. DIPLOMA YA UONGOZI WA ELIMU (DEMA/DELMA)
2. DIPLOMA YA UTHIBITI UBORA WA SHULE (DSQA) KWA...
Jipatie Magic pen ambazo zinauwezo wa kuandika na kufuta iwe kwenye kaaratasi ya kawaida, karatasi ngumu (bodi paper) , inafuta pale ambapo umekosea ni bora na za kisasa zinapatikana Kitunda - Dar...
Wana JF nauza hivo Vifaa;
-Kabati kubwa ngazi tatu
-Jiko la Motor linalotumia chenga za mkaa
-Jiko la mkaa la kuchomea viaz la kawaida
-Jiko la mishikaki
-Meza ya kuweka Kabati
-Makalai mawili ya...
Habari wakuu, kwa wale ambao ni wapenzi wa simu za kizamani ( Old School ) za button na za touch, ninauza Spare za hizo Simu, kuanzia mikanda, Speakers, mic, slot za SIM card, na vioo.
Models...