Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jumla ya kreti zipo 90. Eneo yalipo ni Mwanza, Kiseke. Bei ni Shilling 10000 kwa kila moja.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nauza RGB MACHENICAL GAMING KEYBOARD bei 150,000/= FREE DELIVERY Call 0692562259 Instagram @Mysetup_Tz ONLY ORIGINAL PRODUCT
0 Reactions
12 Replies
909 Views
NISSAN XTRAIL🔥🔥🔥 Year 2003✅ Cc 1990✅ Full Ac✅ Android Tv✅ New Tyres✅ Sports Rim✅ 12.5MILION🔥🔥🔥 Mawasiliano 0688 986 066
0 Reactions
5 Replies
768 Views
Msaada maduka ya uhakika kwa mwanza mjini chimbo lipi naweza pata google 3a au 4 brand new
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nauza laptop HP ProBook 650 G3, Ina RAM 8Gb, hardDisk 128 SSD, Screen size 15.6 haina Scratch. Inakaa na charge masaa 4. Ina windows 10 Pro. Bei na laki 4(400,000)maongezi yapo. Ninapatikana...
0 Reactions
14 Replies
996 Views
KIBAHA KWA MFIPA(Upande wa chuo) Heka 7, zimepimwa na Hati ipo Umbali ni km 2.5 toka moro road Bei ni million 126,000,000/= Kupelekwa site ni 20k 0784376888/0744757738 Sent from my Infinix X657B...
0 Reactions
5 Replies
738 Views
Jibu la matatizo lipo Bora Computer Solution. Tunatengeneza laptop na desktop aina zote kwa ubora wa hali ya juu, tunabadilisha Operating System(OS) kama vile Windows 7, 8, 10 na kwa mahitaji ya...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Natural Skin Solution yenye makao yake Kibaha Tanzania, tunapenda kutangazia wahitimu wa Clinical Officer au wanafunzi wa fani ya Clinical medicine ,tuna nafasi moja tu ya field au volunteer...
0 Reactions
1 Replies
611 Views
Samsung A13 dark blue color Ni 64 GB, ram 4 gb. Simu haina tatizo lolote, screen ipo safi. Simu ipo Dar Imetumika miezi 11. Unapewa charger, box, risiti. Muuzaji ana shida ya haraka kugharamia...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
BMW 3 Series 2005 Engine 1900cc Inauzwa Million 12.5. Ipo kwenye hali nzuri kabisa na haina error yeyote kwenye dashboard. Inauzwa kwa sababu ningependa kununua gari kama hii ya miaka ya karibuni...
2 Reactions
53 Replies
22K Views
Kwa wale walaamu na wenyewe uzoefu wa hizi kazi za kudesign package za kupakia unga nk..’ Nataka mtu ambae anaweza kunidizainia package ya unga wa lishe yenye muonekano mzuri. Nitumi sample DM...
3 Reactions
5 Replies
820 Views
Hello wapi hapa mjini (maduka gani ?) Dar napata latest generation tablet na desktop/laptop computer kwa bei nzuri - reasonable price?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TANGAZO TANGAZO KWA WALIMU WANAOHITAJI KUJIENDELEZA. KAMPASI YA ADEM MBEYA IMEANZA KUTOA MAFUNZO YA 1. DIPLOMA YA UONGOZI WA ELIMU (DEMA/DELMA) 2. DIPLOMA YA UTHIBITI UBORA WA SHULE (DSQA) KWA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natarajia kufungua ofisi hivi karibuni Kwa yoyote anayeuza vifaa vya ufundi simu nanunua bei ni maelewano
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jipatie Magic pen ambazo zinauwezo wa kuandika na kufuta iwe kwenye kaaratasi ya kawaida, karatasi ngumu (bodi paper) , inafuta pale ambapo umekosea ni bora na za kisasa zinapatikana Kitunda - Dar...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wana JF nauza hivo Vifaa; -Kabati kubwa ngazi tatu -Jiko la Motor linalotumia chenga za mkaa -Jiko la mkaa la kuchomea viaz la kawaida -Jiko la mishikaki -Meza ya kuweka Kabati -Makalai mawili ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa yeyote anayeuza biashara ya carwash iwe (profitable na bei isizidi million 8 ) tuwasiliane 0718029972
0 Reactions
1 Replies
345 Views
Inakila moter na kila kitu kasoro card yakununua mpya bei 1.2 m. 0652595942.
0 Reactions
0 Replies
287 Views
Habari wakuu, kwa wale ambao ni wapenzi wa simu za kizamani ( Old School ) za button na za touch, ninauza Spare za hizo Simu, kuanzia mikanda, Speakers, mic, slot za SIM card, na vioo. Models...
2 Reactions
0 Replies
364 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…