Funa the Great
Senior Member
- Aug 1, 2022
- 160
- 271
Septemba 03, 2023, hii ilikuwa ni tarehe ambayo nilipata nafasi ya kuwapeleka watalii ndani ya hifadhi ya taifa Arusha inayopatikana mkoa wa Arusha. Hifadhi ambayo Mfalme Charles wa III na malkia wake walikanyaga ndani ya ardhi iyo.
Ni siku ambayo iliacha kumbukumbu kwa kila aliyekwepo hakuna aliyetamani kurudi nyumbani kwa wakati ule zaidi ya kuendelea kujionea mengi juu ya uumbaji wa mwenyezi Mungu lakini ni vile hawakuwa na namna kwa kuwa package na budget ya safari yao ilikuwa ni ya siku moja yaani DAY TRIP.
Tulitembelea karibia vivutio vyote vinavyopatikana ndani ya hifadhi iyo ikiwemo,
1. Maporomoko ya Maji Tululusia
2. Serengeti ndogo
3. Uwanja wa mbogo
4. Ziwa Momella
5. Creta ya Ngurdoto
6. Museum ya Ngurdoto
Vivutio vyote hapo nimevielezea kwenye makala ya "YALIYOJIFICHA JUU YA HISTORIA YA HIFADHI YA TAIFA ARUSHA NA MAAJABU YA VIVUTIO VYAKE" kama hujapata nafasi ya kupitia unaweza pitia.
Tuliona wanyama kwa kutumia magari na kutembea kwa miguu na kuwapiga Picha kwa ukaribu.
Tanzania imebarikiwa kuwa na maeneo mengi yenye kuvutia una kila sababu ya kujipa nafasi na kwenda kutembelea vivutio vya utalii. Acha kujifungia ndani kuna mengi unapishana nayo.
KWA HUDUMA ZA SAFARI ZA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII CHEKI NAMI +255622174613.
SAFARI ZA MARAFIKI, FAMILIA, COUPLES, SHULE/VYUO, KIOFISI N.K
KARIBU TUTEMBELEE HIFADHI YA TAIFA MIKUMI NA MAPOROMOKO YA MAJI CHOMA NDANI YA MKOA WA MOROGORO KUANZIA TAREHE 16-17 DECEMBER 2023. MAELEZO ZAIDI +255622174613
Ni siku ambayo iliacha kumbukumbu kwa kila aliyekwepo hakuna aliyetamani kurudi nyumbani kwa wakati ule zaidi ya kuendelea kujionea mengi juu ya uumbaji wa mwenyezi Mungu lakini ni vile hawakuwa na namna kwa kuwa package na budget ya safari yao ilikuwa ni ya siku moja yaani DAY TRIP.
Tulitembelea karibia vivutio vyote vinavyopatikana ndani ya hifadhi iyo ikiwemo,
1. Maporomoko ya Maji Tululusia
2. Serengeti ndogo
3. Uwanja wa mbogo
4. Ziwa Momella
5. Creta ya Ngurdoto
6. Museum ya Ngurdoto
Vivutio vyote hapo nimevielezea kwenye makala ya "YALIYOJIFICHA JUU YA HISTORIA YA HIFADHI YA TAIFA ARUSHA NA MAAJABU YA VIVUTIO VYAKE" kama hujapata nafasi ya kupitia unaweza pitia.
Tuliona wanyama kwa kutumia magari na kutembea kwa miguu na kuwapiga Picha kwa ukaribu.
Tanzania imebarikiwa kuwa na maeneo mengi yenye kuvutia una kila sababu ya kujipa nafasi na kwenda kutembelea vivutio vya utalii. Acha kujifungia ndani kuna mengi unapishana nayo.
KWA HUDUMA ZA SAFARI ZA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII CHEKI NAMI +255622174613.
SAFARI ZA MARAFIKI, FAMILIA, COUPLES, SHULE/VYUO, KIOFISI N.K
KARIBU TUTEMBELEE HIFADHI YA TAIFA MIKUMI NA MAPOROMOKO YA MAJI CHOMA NDANI YA MKOA WA MOROGORO KUANZIA TAREHE 16-17 DECEMBER 2023. MAELEZO ZAIDI +255622174613