Funa the Great
Senior Member
- Aug 1, 2022
- 160
- 271
KINUKAMORI MARANGU, MOSHI KILIMANJARO
Unapozungumzia maeneo yenye mandhari mazuri kwa ajili ya utalii ndani ya mkoa wa Kilimanjaro basi wilaya ya Moshi imebarikiwa sana. Maporomoko ya maji yaliyopo ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi eneo la Marangu.
Ndani ya eneo ilo kuna sanamu nyingi zinazoelezea historia mbalimbali juu ya viongozi wa kichaga waliokuwa wakitawala kwenye maeneo mbalimbali na mfumo mzima wa maisha yao hadi umauti ulivyowapata.
Hakika kuna simulizi nyingi zenye kusisimua utakazozipata kutoka kwa wabobezi wenye historia nyingi juu ya kabila la wachaga. Hautoishia hapo tu bali kuna mandhari mazuri yaliyotunzwa na kupangiliwa kwa ustadi wa hali ya juu zaidi yatakayokufanya ufurahi na kutojutia kufika ndani ya eneo hilo.
Nilichokipenda zaidi juu ya eneo ilo ni kwamba limetengenezwa kwa mfumo wa kisasa zaidi kwa kuwekewa ngazi maalumu zitakazokusaidia kushuka na kupanda utakapokuwa unatemebelea eneo la maporomoko ya maji. Zao la kahawa ni miongoni mwa mazao yaliopo ndani ya eneo ilo. Hususani kahawa aina ya ARABIC.
Kwa huduma za safari za kutembelea vivutio vya utalii wasilana nami +255622174613.
Safari za marafiki, familia, kiofisi, shule/vyuo, wapenzi (couple) n.k
Unapozungumzia maeneo yenye mandhari mazuri kwa ajili ya utalii ndani ya mkoa wa Kilimanjaro basi wilaya ya Moshi imebarikiwa sana. Maporomoko ya maji yaliyopo ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi eneo la Marangu.
Ndani ya eneo ilo kuna sanamu nyingi zinazoelezea historia mbalimbali juu ya viongozi wa kichaga waliokuwa wakitawala kwenye maeneo mbalimbali na mfumo mzima wa maisha yao hadi umauti ulivyowapata.
Hakika kuna simulizi nyingi zenye kusisimua utakazozipata kutoka kwa wabobezi wenye historia nyingi juu ya kabila la wachaga. Hautoishia hapo tu bali kuna mandhari mazuri yaliyotunzwa na kupangiliwa kwa ustadi wa hali ya juu zaidi yatakayokufanya ufurahi na kutojutia kufika ndani ya eneo hilo.
Nilichokipenda zaidi juu ya eneo ilo ni kwamba limetengenezwa kwa mfumo wa kisasa zaidi kwa kuwekewa ngazi maalumu zitakazokusaidia kushuka na kupanda utakapokuwa unatemebelea eneo la maporomoko ya maji. Zao la kahawa ni miongoni mwa mazao yaliopo ndani ya eneo ilo. Hususani kahawa aina ya ARABIC.
Kwa huduma za safari za kutembelea vivutio vya utalii wasilana nami +255622174613.
Safari za marafiki, familia, kiofisi, shule/vyuo, wapenzi (couple) n.k