Wakuu nahitaji dawa effective ya kuua panya kwani nyingi ni fake.... au ninapoweza kupata hata paka/nyau ambaye yuko makini katika kuua na kufukuza panya.......ushauri unaruhusiwa...
Biashara ya pochi ndogondogo za kike nainai chambuu
💥4000 Kuanzia pisi 20
🔥5000 Kuanzia Pisi 10
⚡6000 Kuanzia Pisi 2
🌟7000 Pisi 1 (Rejareja)
😋Unaweza kuuza 7000-10000
📍Tupo Morogoro Mjini
Mtaa Wa...
Waungwana watumiaji wa asali kwa afya, leo napenda kutoa mada ya kuitambua asali halisi au mbichi.
Zipo njia nyingi tena nyingine unaweza kuwa unazijua. Asali halisi ni nzuri kutumia kama dawa ya...
Tunauza asali mbichi kutoka Tabora
Asali yetu ni original kabisa haijachakachuliwa hata kidogo
Kuthibitisha hilo unaruhusiwa kutest mpaka ukijiridhishe ndipo unafanya malipo
Kwawale ambao...
Habari zenu wapendwa wanajamii forums!
Tunayo furaha kuwatangazia kwamba tuna diaries mpya za mwaka 2024,Tunaamini kwamba diaries hizi zitakuwa mwongozo mzuri katika maisha yako ya kila siku na...
Kwakweli naombeni matapeli madalali msinipigie ,mnasema mnauza mashamba natafuta mteja tunaanza kuzunguka tu kama pia.
Tuelewane.
Hii namba ni kwa ajili ya wateja sio mniharibie kazi .
Ila kama...
Masaihost
WE PROFESSIONAL WEB HOSTING SOLUTION FOR ANY BUSINESS NEEDS. For Only TZS 75,000
*Features
Domain Name (.co.tz)
Control Panel
40GB storage
40GB Data Traffic
50 Email Accounts
PHP &...
Uzoefu wangu.
Kituo cha chekechea (daycare center) kipo chini ya ofisi ya wilaya (afisa maendeleo). Hivyo taratibu zote za kufungua zinaishia hapo. Wakati shule ya chekechea (nursery school) ipo...
Nauza taa za solar ninazo Sita tu Bei ni elf50 kwa kila moja nyote mnakaribishwa unaweza kuweka nje ya fensi ndani au kwenye viwanja vya nyumbani ni sensor
Ndugu zangu Nina simu nauza ila ni ya mkopo. Imebakiza miezi mitatu kumaliza. Ni Infinix smart 7+. Nina dharura na Sina kitu kingine Cha ziada. Anaeweza kunisaidia kuinunua naomba tuwasiliane please.
Zipo changamoto nyingi za uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Leo ninakushirikisha baadhi ya changamoto ambazo nimeziona zinaweza kukuzuia kutoka hapo ulipo kwenda hatua nyingine ya mafanikio...