Nahitaji scooter used.

Nahitaji scooter used.

emkey

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2011
Posts
728
Reaction score
137
HABARI WANA JF.
Naomba nijulishwe duka gani hapa DSM naweza kupata hivi vihonda vidogo ambavyo havina gear [automatic] kilichotumika nje ya nchi. pia mwenye ufahamu anijuze bei zake, nahitaji yenye jina lolote e.g. honda, yamaha, toyo, e.t.c.
 
HABARI WANA JF.
Naomba nijulishwe duka gani hapa DSM naweza kupata hivi vihonda vidogo ambavyo havina gear [automatic] kilichotumika nje ya nchi. pia mwenye ufahamu anijuze bei zake, nahitaji yenye jina lolote e.g. honda, yamaha, toyo, e.t.c.

Mkuu ushapata tayari? Kuna jamaa yangu anayo from Italy ameitumia 4000km tu. Anaiuza 2.2M. Na mimi nnayo pia ila yangu imeenda 10000km nauza 1.5M. Kama uko interested ni PM.
 
Mkuu ushapata tayari? Kuna jamaa yangu anayo from Italy ameitumia 4000km tu. Anaiuza 2.2M. Na mimi nnayo pia ila yangu imeenda 10000km nauza 1.5M. Kama uko interested ni PM.

duuuh mjomba kiscooter kiuzwe mil2.2 au 1.5!!!???.. Hiyo mil2.2 unapata boxer bm150...1.5mil fekon,sanlg CC150 MPYAA
 
duuuh mjomba kiscooter kiuzwe mil2.2 au 1.5!!!???.. Hiyo mil2.2 unapata boxer bm150...1.5mil fekon,sanlg CC150 MPYAA

Kwahiyo kaka wewe ulijua "viscooter" ni sh ngapi? Ulijua laki 3 nini? Dah pole mkuu ila ujue hizo scooter sio za kichina kama hizo san lg, fekon etc. Hizo zinatoka Italy zinakuja na km 0. Nenda kaulizie bei zake pale Vision Imports Ltd karibu na Maisha Club utaambiwa zinauzwaje then urudi hapa jamvini utoe feedback.
 
scooter cc 125 nimeibahatisha kwa 2.5mil na hitaji vile vya cc 50 au 100 kisiwe na usajili wowote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom