HABARI WANA JF.
Naomba nijulishwe duka gani hapa DSM naweza kupata hivi vihonda vidogo ambavyo havina gear [automatic] kilichotumika nje ya nchi. pia mwenye ufahamu anijuze bei zake, nahitaji yenye jina lolote e.g. honda, yamaha, toyo, e.t.c.
Mkuu ushapata tayari? Kuna jamaa yangu anayo from Italy ameitumia 4000km tu. Anaiuza 2.2M. Na mimi nnayo pia ila yangu imeenda 10000km nauza 1.5M. Kama uko interested ni PM.
duuuh mjomba kiscooter kiuzwe mil2.2 au 1.5!!!???.. Hiyo mil2.2 unapata boxer bm150...1.5mil fekon,sanlg CC150 MPYAA