Nyumba ya vyumba 3 vya kulala , kimoja master jiko , dining , public toilet na store , inapangishwa eneo la kipunguni B mosh bar , maji yapo ya kutosha bei ni Tsh 250,000 kwa mwezi , miezi 6...
Gari inahitajika Mark II grand namb C iwe na hali nzuri cause itakua inasafiri mbali, kama ipo tuma picha kwa whatsapp number 0786 360 818 au piga simu.
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya moshi mjini soweto,majengo,pasua,etc.Iwe ya kuanzia vyumba viwili na kuendelea na angalau kimoja kiwe master bedroom na jiko na sebule.
Iwe na fence/ukuta na...
Nyumba inauzwa....!!
Ipo kigamboni block b
ina vyumba 4 (self moja) pia ina sebule kubwa mbili, ina gereji/store....
Pia kiwanja cha nyuma ya nyumba, matenk
ukubwa wa kiwanja ni sq meter 645
pia...
Habarini wakuu.
Nina kiasi cha shillingi millioni 4, nahitaji gari zuri kwa ajili ya mizunguko ya hapa mjini, lisiwe na ubovu, liwe katika hali nzuri.
Nipo Dar.
Kiwanja cha makazi kinauzwa eneo la Ilazo Dodoma, 3.5km kutoka barabara ya Dodoma-Dar es salaam. Bei ni Milioni 15, kina hati miliki pamoja na ramani ya kisasa. Huduma za umeme na maji zipo karibu...
Model 2002
Cc. 1495
Garii hii haina tatizo bali tu inadaiwa road licence 1 million. Hiyo utalipa wewe mwenyewe ndio mana inauzwa kwa bei ya kutupa 2.8ml
ABOUT ME!
For More Information Please...
I FACTORY UNLOCK iPHONES AT VERY CHEAP PRICES (EXAMPLE AT&T iPHONES AT ONLY TZS 60,000). THE SERVICE IS PERMANENT AND NO CHANGES AFTER UPGRADE.
FOR THIS SERVICE PLEASE SEND ME YOUR IMEI NUMBER AND...
Natafuta mteja haraka iwezekanavyo ni kiwanja changu mwenyewe, kipo buyuni block 4 Chanika, karibia na kota za PSPF kina hati 99 years (title deed & offer) size sqm 1586, bei million 18 maelewano...
Kwa wale wanaohitaji kubadilika toka Paper to paperless systems, au wenye Systems zao wanataka kuzibadili ziwe mobile Capable na kuwa na Mobile Apps (Android, IOS, Windows et al) au unataka...
RAM 3GB,
32- bit OS
Intel(R) Core(TM)2 Duo CPU T5870 @2.00GHz
Windows Vista Home Premium 116GB
Service Pack 2
115 GB Memory Local Disk
Price: 400,000/= Tshs
Whatsapp/ Dial: 0786 527572
Kampuni ya Ageco Energy inatoa huduma bora ya umeme wa jua (solar) kwa bei nafuu kabisa. Bidhaa zetu ni za ubora maridadi na zinafungwa na mafundi wenye ustadi mkubwa. Tunafunga umeme wa sola kwa...