Item: Panasonic NV-MD10000 "PAL" Mini DV Camcorder
Description: Professional Camcorder (PAL) CCD: 1/6 x3 CCD - 540k. Offers shoulder-mount stability and connects to a PC for computerized editing...
Toyota Spacio ya mwaka 2002 inauzwa
Iko Iringa! Kilometer 14500. Bei Tsh Ml. 6.
Iko katika hali nzuri! bei inaweza kushushwa.
More info. Call 0713 560 587
Samahani picha imeshindwa kuapload...
habar wana jf
nauza simu twaja hapo juu, iko vzur kimuonekano na hata kiufanisi wa kazi.
kwamaelezo zaidi tembelea hapa => http://www.gsmarena.com/samsung_i8190_galaxy_s_iii_mini-5033.php au...
Kampuni ya CPM Business Consultants inatoa huduma ya kuwaandikia vitabu watu maarufu kama vile Wanasiasa, Wasanii, Wanamuziki ambao wangependa kuwa na vitabu vya historia zao.
Faida ya kuwa na...
Ni ya mwaka 2008,4cylinder manual,cc 1999 bei 32m na kama atatokea mtu wa kubadilishn naye fresh but iwe classic kama yangu, picha chini hapo na kwa mawasiliano 0768359292
Natafuta shamba la kununua liwe maeneo ya iringa mjin au vijiji vinavyouzunguka mji wa Iringa mjini. Nahitaji shamba lenye ukubwa kuanzia eka 2 na kuendelea. Kwa yeyote anauza shamba lenye sifa...
Nahitaji shamba la kununua, liwe ndani ya mji wa iringa au maeneo yanayozunguka mji wa iringa. ukubwa wa shamba ni kuanzia eka 2 na kuendelea. Kama unauza shamba maeneo hayo unaweza kuni PM kwa...
.Huongeza nguvu za kiume
.Huongeza CD4
.Hutibu vdonda vya tumbo
.Hutibu shinikizo la damu
.Huondoa Kitambi
.Kisukari
.Tumbo kujaa gesi
.Anemia
.Asma
.Usagaji wa vyakula 2mboni
.kutunza kumbukumbu...
Nauza kuku wa nyama ni wa kisasa, wametimiza wiki 5 sasa, bei ni 4500@ mmoja, wako 280, napatikana kitunda machimbo dar es salaamu.
Nicheki 0714495367 na 0768859089.
A nice apartment is available at Upanga, having three bedrooms, four washrooms, pool, generator, gym, fully furnished, quite environment, and good location.
To view please call 0784225000 or...
An immaculate contemporary 4 bedroom in a secured gated compound, full furnished with a gym and a swimming pool. The villas are located at Msasani Beach, all these at an incredible price at only...
Kiwanja chenye eneo la mita za mraba 968 (44x22m) kinauzwa TZS 65mil. Kiwanja hicho kipo umbali wa wastani wa mita 150 (nje ya barabara) kutoka kwenye kituo kidogo cha basi cha Namanga kilichoko...
Nauza pikipiki za toyo maalumu kwa ajili ya kubebea mizigo. Zipo mbili
Moja ina engine ya cc200. Inakwenda kwa mil 2.5mil
Na nyingine ina engine ya cc 250..hii inatumia radiator. Ina nguvu...