Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ipo katika hali nzur na inakaa chaji.. ina ufa kwenye kioo tu ila inagonga kazi zote fresh. Picha yake hii hapa Napatikana Daresalaam
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Gari ipo katika hali nzuri sana himelipowa vibali vyote namba B ipo Dar es salaam. mziki haircondition full kiyoyozi. Bei inapungua kidogo piga simu 0712690760
0 Reactions
22 Replies
3K Views
habar zenu wanajamvi, natafuta mkopo wa sh.100000/= ili niweze kulipa ada ya mtoto mwenye nayo ani PM. ahsante
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Passo 2005 Km 50000 Namba c Piga simu 0656 43 66 62 Maongez yapo iko katk hali nzuri sana Piga simu au msg wasp upate picha
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji vyumba 5/6pia nyumba iee na geti na maji pamoja bna umeme kama ipo nipigie kupitia namba hii; 0-657 740 797
0 Reactions
1 Replies
1K Views
najiuliza 'hivi kwa sisi watanzania swala la kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii ' limekuwa bado nichangamoto kubwa sana? Juzi nilikuwa ngorongoro na serengeti tulienda kupumzika na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sina muda wa kujib msg humu Kma una htaji piga simu au tuma msg nikutumie picha watsap 0656 43 66 62
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Jamani wadau natafuta simu ya smartphone kwa bei ya elfu 70 kwa yeyote mwenye nayo anicheki kwa namba 0784791233. Nipo dar
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ist 2002 Ina tatizo la miss Ila inatembea 0656 43 66 62 Cheki picha
0 Reactions
3 Replies
940 Views
Ina tatizo la miss 0656 43 66 62 Ona picha
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Kama unahitaji kupata til za M-pesa na Tigo pesa kwa bei nzuri ni pm, nitakupa utaratibu. TIGO PESA LAKI TANO M-PESA LAKI NNE. UTALIPIA BAADA YA KUZIPOKEA NA KUZIFANYIA MAJARIBIO.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza flash za kutumia ktik simu Kuhamisha files kutok kwenye simu Kwenda kwenye flash na kutok kwenye flash kwenda kwenye simu bila kutumia Cable,una weza kuply nyimbo au video kutoka ktk smu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo juu frem ipo kongowe stendi, kwa anayehitaji tuwasiliane kwa no: 0766121403
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamii natafuta chumba kimoja kwa. Ajili ya kupanga cha sh 40000 mpaka sh 50000 maeneo ya mabibo,magomeni, mwenge, sinza na kimara
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Spacio new model 2006 Km80000 Bei 9.5m Cheki picha 0656 43 66 62
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenye kuhitaji Nyumba ya kupanga inapatikana Kunduchi Beach. Nyumba ipo opposite na Chuo Kikuu cha Jeshi, Kunduchi. Eneo la Nyumba ni kubwa kiasi cha muwekezaji mkubwa kuweza kuweka apartments...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama inavyojieleza hapo juu nauza simu yangu aina ya blackberry curve 8520. Aina tatizo lolote na bado ipo kwenye hali nzuri kabisa, Nauza kwa sababu nimepata simu nyingine ya kutumia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ram ya gb 1 ddr1 (jino moja cpu gx270 dell) itakuwa nzuri zaidi kama unayo nicheki kupitia no 0658327429. Dsm. Shukrani wakuu.
0 Reactions
0 Replies
700 Views
two land cruiser pick up for sale (land cruiser zinauzwa) Model 1991 1hz engine 75000 km Full registration mil 45 Model 2010 Milage 35000 km 1vd engine mil 67 (mkonge) serious buyer check...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Flash za kuchomeka kwenye simu zenu huna haja ya kutembea na cable tena 8gb kwa 30000 tu unaletewa ulipo 0714547830
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom