Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,576
- 2,220
Nauza pikipiki za toyo maalumu kwa ajili ya kubebea mizigo. Zipo mbili
Moja ina engine ya cc200. Inakwenda kwa mil 2.5mil
Na nyingine ina engine ya cc 250..hii inatumia radiator. Ina nguvu sana inakwenda kwa 3 mil
Zipo kwenye hali nzuri. Zilikuwa zinatumika kushambazia cocacola toka kwenye depot kwenda kwa wauzaji wa rejareja.
Zinapatikana tegeta.
Kwa atakae zichukua zote mbili ntamuuzia kwa 4.5m kwa zote.
Mawasiliano 0755815174
Ntaattach picha baadae kidogo
Moja ina engine ya cc200. Inakwenda kwa mil 2.5mil
Na nyingine ina engine ya cc 250..hii inatumia radiator. Ina nguvu sana inakwenda kwa 3 mil
Zipo kwenye hali nzuri. Zilikuwa zinatumika kushambazia cocacola toka kwenye depot kwenda kwa wauzaji wa rejareja.
Zinapatikana tegeta.
Kwa atakae zichukua zote mbili ntamuuzia kwa 4.5m kwa zote.
Mawasiliano 0755815174
Ntaattach picha baadae kidogo