Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 648
- 418
Nyumba yenye vyumba vinne, Jiko, Sebule mbili na Dinning ikiwa ndani ya kiwanja chenye ukubwa wa square mita 645 inauzwa. Hati zipo na haina mashaka.
Mahali ni Kigamboni eneo la MIKADI BEACH...mita 50 toka barabarani...nyumba imepakana kabisa na ofisi za NIDA Kigamboni. Ina umeme na maji.
Kwa anayetaka nitaomba tuwasiliane kwa PM ili nimpe maelezo ya ziada.
Bei ni Milioni 220.
Mahali ni Kigamboni eneo la MIKADI BEACH...mita 50 toka barabarani...nyumba imepakana kabisa na ofisi za NIDA Kigamboni. Ina umeme na maji.
Kwa anayetaka nitaomba tuwasiliane kwa PM ili nimpe maelezo ya ziada.
Bei ni Milioni 220.