Karibu uwekeze katika ardhi katika mikoa ya lindi na mtwara,pia unaweza pata ushauri wa taratibu zote za kumiliki ardhi kisheria na kupata hati ya umiliki.Tunakutafutia kiwanja unachohitaji na...
Natafuta fundi ac ya ukutani. Ina drip maji, na marengenezi mengine. Muhim sana kama kuna kampuni ynaijua inatengeneza AC naombeni mniunganishe na hio kampuni.
Asanteni sana.
Nipo dsm masaki
Nyumba inapangishwa
Tabata karib na chuo cha
St mary's maalumu kwa hospitali au dispensary
Kwa maelezo zaidi
Wasiliana na
Mr erick
0717 375801
Karibuni
At mint condition.
Internal storage 12 gb
Camera 8 mega pxl
Note:itahitaji ubadilishe betri tu
Fixed price no negotiations.
Serious buyers only
Text or call, WhatsApp at 0719315637...
Samsung Galaxy S4 32GB --- 500000
Samsung Galaxy Star Duos ----100000
HTC one X 32GB ...--- 400000
Blackberry z10 ---- 300000
Samsung Galaxy s3 mpya na box...
wadau habari za leo naomba kuuliza vp kuhusu receiver ambazo unaweza kupata hata channel mbalimbali za zinazoonesha mpira wa ulaya hususani EPL UEFA na ligi zingine za ulaya.kwa anayefahamu msaada...
Habari zenu wafuasi,
Kwa anayejua wapi ninaweza pata T-shirt za manga na zinginezo kwa bei ya jumla kariakoo. Naomba uweke bei yake na kiwango cha chini cha kununua. Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.