Kweli hii ni plot,
1ft = 0.3048 m
40f = 12.192 m
50 ft = 15.24 m
Total Area of the plot = 185.81 sq m
Hapo nikujenga chumba kimoja na sebure, ndo utapata egesho la gari, bajaji, na pikipiki. Bado sehemu ya shimo la choo, kuanika nguo, jiko n.k. Vinginevyo ujenge ghorofa.
JAMANI TUNAKARIBISHWA kununua plot hizo.
Kama ulikusudia kuandika mita bada ya ft (foot) hapo sawa. Yaani plot ni 40 m kwa 50 m. Kumbuka sijatoa maelezo hayo hapo juu kuharibu biashara yako. Yalikuwa ni maelezo ya kutaka uboreshe maelezo tangazo lako kwa kuweke specification zinazoeleweka. Usitumie maneno ya jumla jumla. mfano unaposema 'hata nyumba mbili kubwa zinatoka' , hii ni kauli ya jumla mno. eleza ukubwa wa nyumba yenyewe. Nakutakia biashara njema.Inaonekana wewe ni mgeni wa viwanja......I mean vipimo hivyo na uhalisia wa kiwanja chenyewe....
Mbona ni kikubwa hata nyumba mbili kubwa zinatoka kwa kila kiwanja....