Friji, sofa ya watu wawili vinauzwa. Maeneo ya tabata Bei ni nafuu sana, na .imaelewano.
friji imetumia miezi 8.
sofa ya viti viwili miezi 6.
Pia nyumba inauzwa ipo tabata relini.
Ina vyumba...
Habari zenu jamvini!!
Shamba linalokadiriwa kuwa na heka 20 lipo maeneo ya Kimanzichana wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Shamba limepandwa nanasi na mipapai, lakini pia lina michungwa. Kumejengwa...
in urgent need mwenye kuuza simu hizo .. zilizo katika hali nzuri kimuonekano bila kuwa na ubovu . tafadhali tufanye biashara..
price iwe fair kidogo jameni
Husika na kichwa cha habar hapo juu. Kuna nafasi za kazi katka grocery mpya maeneo ya sinza. malipo mazuri na ni makubaliano. Kizuri zaid kuna chumba cha kupanga ready kwa wahudumu. Tafadhal...
Gallxy note2 original inauzwa,kwa bei ya kuelewana...ina wiki moja tangu itolewe dukan ipo katk hali nzur sana...kama unaitaka ni pm au chek mi 0714250626/0757470207
Tafadhali naomba mnisaidie kujua bank ambayo inatoa mikopo ya masharti nafuu, maana baadhi ya benki zinatoza riba kubwa vilevile repayment period inakuwa fupi sana.
Imetumika miezi 6 tu hapa nchini. ina sifa zifuatazo
mitsubish double cap, pik up.
manuel transmition, full air condition , new tires , engine size 2.5 cc dieasel , model 4D56 of 2002
bei 18.5m...
Nauza mafuta ya Nazi 0658318938 asili kabisa natengeneza mwenyewe karibuni mls 100 kwa sh 5000 / mls 70 kwa sh 3000
kuanzia chupa 3 nakuletea ulipo dsm
Used trekta toka Denmark linauzwa.
Lipo kwenye hali nzuri hali nzuri halijafanya kazi hapa kwetu Tanzania.
Kwa anayelihitaji aniwhatsapp kwa 0787519910 nimtumie picha....
Shukurani wadau!!
Dear colleague,
We now have SILVER and GOLD generation; the old rule is changing and giving space to the new rule and principle. The big pool of SILVER and GOLD generation creates their new...
Habari wana JF,
Tunakodisha gari aina ya Toyota Coaster yenye vitu vifuatavyo;
- Inabeba watu 28
- Air Conditioner(AC)
- Video
- Comfortable seat.
Gari inaweza kukodiwa kwa matumizi...
Yeyote anayehitaji ardhi ya Kupanda miti ya mbao au mashamba yenye miti ya mbao, yaliyopo mkoani njombe awasiliane nasi kupitia namba hizi
0785879515, 0657657765, 0758355218, 0714565878