Friji na Sofa vinauzwa

Friji na Sofa vinauzwa

simbara

Member
Joined
Aug 28, 2013
Posts
37
Reaction score
10
Friji, sofa ya watu wawili vinauzwa. Maeneo ya tabata Bei ni nafuu sana, na .imaelewano.
friji imetumia miezi 8.
sofa ya viti viwili miezi 6.
Pia nyumba inauzwa ipo tabata relini.
Ina vyumba viwili vya kulala na sebule jiki na choo ndani. Bei 18m. Pia maelewano yapo bei inapungua.
Kwa mawasiliano. 0766244848
 
weka picha ya hivyo vitu na hiyo bei nafuu iweke wazi..
 
Il tangazo lako liweze kuvutia weka vifuatavyo
1. Picha
2. Kochi na friji vimetumika kwa mda gani toka ununue?
3. Je vinatatizo lolote?
4...nk
 
Si biashara tu bali hata mambo mengine ya kijamii, kisiasa na kiuchumi...

Mtu anauza friji lakini haelezi sifa ya hilo friji kama rangi, ukubwa, brand n.k

Vitu hivyo vimetumika muda gani na sababu ya kuviuza...

Eti anasubiri atafutwe whatsapp au mtu amfuate huko Tabata....thubutuuuu!!!!

Hii biashara, kweli watz hatujielewi, jambo jepesi unalifanya kuwa gumu.
 
Si biashara tu bali hata mambo mengine ya kijamii, kisiasa na kiuchumi...

Mtu anauza friji lakini haelezi sifa ya hilo friji kama rangi, ukubwa, brand n.k

Vitu hivyo vimetumika muda gani na sababu ya kuviuza...

Eti anasubiri atafutwe whatsapp au mtu amfuate huko Tabata....thubutuuuu!!!!

Kwanza ukiona hivi shtuka, jua biashara ya magumashi tu hii.
Biashara ya kweli mtu huweka wazi, biashara itoke afanye mengine.
 
Kwanza ukiona hivi shtuka, jua biashara ya magumashi tu hii.
Biashara ya kweli mtu huweka wazi, biashara itoke afanye mengine.

Wakuu samahanini sana hii biashara sio magumashi ukiona mtu katangaza hivi hujui ana shida gani na mm ndo kwanza leo ndo nimeweka tangazo mbina kunawalio wakarimu wamenipigia wamefahamu. Samahanini wakuu nafanya biashara nawala si magumashi
 
Hii friji umeshawahi kuhufadhia kitimoto? Nataka kununua nitoe msaada msikitini tuwe tunapiga juice ya ukwaju baridiii wakati wa mfungo..kwa neema za aaaalwaaah
 
Yap, sio bure hapo.

Mkuu sio bure ndo nini..
Sikila anayeweka tangazo ni mzushi hapana hujui na nanini na kilicho msibu.. ndo mana nimeweka no. Ya mawasiliani hapo.. mbona watu wananipigia nawaeleza. Asanteni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom