Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

wakuu mambo vipi? nauza mayai ya kware trei moja elf 15 tu unaweza nicheck kwa namba 0772 001745
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Habarini wakuu naitaji brand new wereless microphone ziwe aina ya shure pls nin za kutoka ireland au thailand pls kwa yeyote aanayeuza anihuzie pls Zenye uwezo wa kuperform vyema pls wadau...
0 Reactions
1 Replies
751 Views
Gari inauzwa milioni nane na nusu vibali vyote vimelipiwa mwaka huu mwezi wa 3,kwa mawasiliano piga namba 0717352787.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
5.01" Diplay Android V4.2 (Jelly Bean) 5MP Camera 8GB internal Memory Used for only 3 Months Call/Text 0752385949
1 Reactions
4 Replies
984 Views
Uyoga wa kuoteshwa nyumbani. Ni fresh wala haunywei.uyoga una madini na vitamini muhimu kwa afya ya mwanaadamu. Karibuni 0718800909
0 Reactions
0 Replies
880 Views
natafuta gar toyota carina,starlet ya 1999,spacio old model au corona iliyo katika hali nzur.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Processor : 1.86Ghz Core 2 Duo Ram : 2Gb HDD : 460Gb Operating System: Windows 8 WiFi and Bluetooth connectivity Three USB Ports,HDMI Port price;Tsh.450,000/= Good display and high performance...
0 Reactions
3 Replies
823 Views
House for rent at Mikocheni. The house is fully furnished with 3 bedrooms and 3 bathrooms, have a well maintained garden and a paved compound. for more details on the house click;View Property...
0 Reactions
1 Replies
770 Views
Imevunjika screen but inafaa kwa mafundi laptops kwa spsir mbalimbali Hard disc 75gb Other specifications zipo kwenye images zake
0 Reactions
2 Replies
996 Views
sisi ni vijana watatu kutoka toyota tz ,tunatengeneza engine aina zote hasa za V8.Yeyote mwenye kuhitaj huduma yetu tuwasiliane no.0766981308 tunakufuata ulipo DAR
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa airtel money kwa tshs.120,000/= maelewano yapo. Ukiwa na laini hii utaweza; kusajili laini za airtel Kuuza muda wa maongezi wa airtel Pia utapata...
0 Reactions
0 Replies
851 Views
KIWANJA KIPO NDANI YA MRADI WA VIWANJA VYA GEZAULOLE - SUMANGILA . KINA HATI. NA UKUBWA WA ENEO NI SQM 1501. BEI TSH. 35M Kwa mnunuzi makini anayehitaji kiwanja tuwasiliane . napatikana...
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Wana jamii ninatafuta gari isiyozidi Tsh. 6Million. AINA: Toyota Carina Ti VVTi, Spacio new model au nyingine ambayo ni user friendly yenye hali nzuri. Nitumie Picha kupitia WhatsApp 0764039624...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Its a new house self of: 3 bedrooms, one is master bedroom, sitting room, dining room and kitchen. Indoor shared toilet and bathroom Gypsum, tiles, slide windows, ac at sitting room only and fans...
0 Reactions
0 Replies
924 Views
bajeti yangu 250,000
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Kwa anayetaka ni pm nipo dsm bei 160k
0 Reactions
2 Replies
904 Views
haya haya wana jamvi,gari tajwa apo juu iko sokoni kwa milion nne(4m)aliye muhitaji tukutane pm.
0 Reactions
0 Replies
909 Views
LG G pro used for two monthes has a single crank but every thing works perfectly specifications:internal memory 22GB camera 13megapixel android yake ni kit...
0 Reactions
1 Replies
821 Views
Baileys 750ML sealed pamoja na Johnnie Walker 750ML sealed zote zinaenda kwa 60,000 ukinunua moja moja ni 33,000 kila moja wahi jaman ziko izi mbili tuu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kipo keko ya magurumbashi kina ukubwa wa 500sqm pia kina leseni ya makazi. Bei 6.2mil tzs maelewano yapo. NB: Gari haifiki mpaka kiwanjani. Pm for more details and photos.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom