Sony Xperia T for sale from UK in excellent condition no scratch na iko complete na kila kitu chake. Sina picha at the moment kwa anaehitaji namba yangu 0713 404014 bei 420
freezer safi na zuri ambalo haijatumika zaidi ya mwaka. Linauzwa laki NANE (800,000/=)
unaweza kulitumia kwenye duka la samaki, nyama, matumizi ya nyumbani na kuifadhia vinywaji.
NIPO MABIBO...
Salaam,
Nauza shamba heka 10.Zote nataka milioni 3 na nusu.
Mimi mwenyewe ndio muhusika.
Anayehitaji tuwasiliane PM, Pia nitumie na namba yako ya simu kwa maelezo zaidi.
Asanteni.
Habari za leo wadau wote wa JF... Nahitaji TV flat screen with original remote control, mwenye nayo naomba aniPM hapa hapa jamvini haraka akinifahamisha wapi ilipo, aina na gharama
Kila la kheri
Habari!!!??
Nyumba ina vyumba 4 kimoja ni master. Ina vyoo viwili. Pia ina Study Room ambayo haijakarabatiwa kwa ndani. Vile vile kuna stoo moja.
Kuna Sitting Room, Dining na Jiko pia.
Kuna...
Laptop hii haina tatizo lolote wala haija wai funguliwa na maanisha sild zote zipo na inatumia simcard huna haja ya modem,
niwemuwazi sehemu ya kamera ina crack ingawa camera inafanya...
Connect General Supplies ni wasambazaji maarufu wa Mashine za Kisasa Automatic za Kutotolesha vifaranga vya Kuku, Kwale, Kanga, Bata n.k.Mashine zinasifika kwa ubora na uimara wake wa hali ya...
Nauza spare za laptop hp 650
Betri 60000 inakaa 4hrs
Cd room 40000 mpya kabisa
Chaja 25000
Ram 2gb 40000
Keypard 50000
Kioo screen 15.6 inches 150000
Kwa mawasiliano 0765480855
features.
2g ram
16 gb internal storage
8mp camera.
unique keyboard (it can learn fast when you type )
black in mint condition.
can run both bb world and android apps smoothly
price 330,000/=tzs...
Toyota IST for Sale (New)
Used for 3 Months
Engine Capacity 1496
Registration T.......DCR
Year of Manufacture 2002
Colour: Silver
Body: Saloon
Price 9 M
Fully A/C
Location DSM
Phone 0774819712
Kiwanja kinauzwa,
Kipo Halmashauri ya Mji Kibaha,
Tarafa ya Kibaha,
Kata ya Kongowe
Mtaa wa Mwambisi-Barabara ya Kongowe - Forest ( Ofisi za Wakala wa Huduma za Misitu Taifa, Kanda ya Pwani)...
Jamani kwa yule anayefahamu sehemu ambayo naweza nikapata wino wa printer aina ya canon pixma ip1900 aniambie, ikiwezekana na bei nataka il nikienda mahal penyewe niwe nimeenda jumla ni kununua tu.
Habaru zenu wana JF. Naitwa denis niko dar es salaam pia nafanyia shughuli zangu jijini dar es salaam. Najihusisha na uwakala wa forodha (customs agency) ama kwa lugha zoefu CLEARING AND...
Nauza kiwanja changu kilichopo eneo la Ilazo Dodoma, kimepimwa na kina hati miliki na hakina mgogoro wa aina yoyote, kipo sehemu nzuri Sana huduma za maji na umeme zimefika mita zisizozidi kumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.