Mpya au used
samsung note 2 inauzwa 430,000 imetumika miezi 3 rangi grey
Vitu fake vitatuua Tz.....serikali imelala,imebariki,cancer ndio habari sasa....
Toka lini simu ya zaidi ya 1M,iuzwe laki 4!!
Watanzania tusipende cheap...itatu-cost.
(Nakaribisha mashambulizi + matusi,maana ukweli mbaya haupendwi)
Hahahahaaaa.....
Mchina @ work...
Babu yangu naomba uninunulie hiyo simu?
Vitz new model hutaki tena??
Hahahahaaaa.....
Mchina @ work...
Si uninunulie mawasiliano kwanza?Au tutakuwa tunawasilianaje?
Vitu fake vitatuua Tz.....serikali imelala,imebariki,cancer ndio habari sasa....
Toka lini simu ya zaidi ya 1M,iuzwe laki 4!!
Watanzania tusipende cheap...itatu-cost.
(Nakaribisha mashambulizi + matusi,maana ukweli mbaya haupendwi)
Vitu fake vitatuua Tz.....serikali imelala,imebariki,cancer ndio habari sasa....
Toka lini simu ya zaidi ya 1M,iuzwe laki 4!!
Watanzania tusipende cheap...itatu-cost.
(Nakaribisha mashambulizi + matusi,maana ukweli mbaya haupendwi)