nyumba chumba na sebule inauzwa kigamboni
Bei:milion 6.5
Ukubwa wa eneo:19x19(hatua)
Mahali:kibugumo km 12 toka ferry (2 km toka barabara ya lami)
Kuiona nyumba tsh 10,000, husipoipenda...
Price:Tsh 130 mil
Direction:Kibada 11km from Panton station [emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668]...
Nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu ipo Mbagala Chamazi kituo cha Magengeni.
Nyumba ni mpya ipo karibu na barabara na huduma zote za jamii.
Nyumba ina documents zote.
Inauzwa Tsh.60...
Habarini wana bodi..tunauza nyumba yetu maeneo ya Ilazo dodoma mjini..barabara lami umeme na maji ndani ya nyumba ina fence na geti kabisa pia ina frame mbili..nyumba imeishia juu ya lenta ina...
IVORY TOWER ltd. inauza apartment iko mjini kabisa , ni mwendo wa kutembe kwenda kariakoo, karibu na supermarkets, kuna chekechea mbili karibu na jengo za lugha ya kiingereza , pia ni karibu na...
Salaam..wandugu nna nyumba nyingine tena sokoni ipo Dodoma mjini meliwa..ukubwa wa kiwanja ni 25*33 haina fence ila ina grill na imepauliwa bado finishing tuu..umeme na maji ni uhakika bei 35...
FOR SALE
DOCUMENTS; LOCAL GOVERNMENT
PLOTSIZE ; 22/25 ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ DATE LISTED: 29 MARCH 2017 : WEDSDAY
ASKING PRICE: [emoji389] TSH: MILIONI #120
DIRECTION ...
Sallam wakuu..poleni na majukumu ya wiki..tumerudi tena na mzigo mwingine wa nyumba.Nyumba zipo kisasa dodoma na Area D Dodoma mjini barabara..maji. na umeme ni uhakika na nyumba zina hitaji...
Ina vyumba vinne Na Sebule
Iko Mwemberadu km 2 toka Ferry
Ina umeme na tiles
Bei tsh milioni 28
Unaweza ifanya hostel, kwani kuna wanafunzi wengi wa chuo wanahitaji maeneo ya karibu na ferry...
Wakuu salaam
Kama ambavyo tangazo linajieleza,nyumba hii inauzwa bado haijakamika IPO kwenye lenta ,nyumba IPO Bunju B(Mugemuzi) pale sokoni unapandisha juu kidogo ni kama 1.5km toka barabarani...
Nyumba mbili mpya za kisasa vyumba vinne kimoja master jiko sebule na store room..ukubwa wa eneo ni 25*30 viwanja vime pimwa na vina hati..milango na madirisha ya grill tayari.
Nyumba moja ina...
Wakuu Asylum Aleku
Nauza nyumba ipo mbezi msakuzi dsm
Ina vyumba vitatu, 1master, public toilet
Ukubwa wa eneo robo heka na zaidi
Nyumba ina tiles yote, bati m'south
Kuna hati ya makazi...
Nyumba ipo Kongowe kibaha ina vyumba 2 kila chumba na choo yake iliyokamilika.
Kuna kiwanja kuendeleza ujenzi
Bei ni million 15 Bei ndogo kulingana na hali mbaya ya mdololo wa kiuchumi
Ukubwa...
Ukubwa wa Kiwanja:sq meter 1200
Ina fensi na getiI kubwa upana meter 4 serv coater
____________________
Master bed rooms: 2
Normal bed room :1
Bafu na choo cha public
Jiko la kisasa ndani...
Nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu ipo Mbagala Chamazi kituo cha Magengeni.
Nyumba ni mpya ipo karibu na barabara na huduma zote za jamii. Bei yake ni 65 milion.
Nyumba ina documents...
Nyumba nzuri,mpya na ya kisasa ipo maeneo ya Mbagala chamazi.Imejengwa ktk ubora wa hali ya juu na ipo karibu na barabara na huduma nyengine za kijamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.