Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

nyumba chumba na sebule inauzwa kigamboni Bei:milion 6.5 Ukubwa wa eneo:19x19(hatua) Mahali:kibugumo km 12 toka ferry (2 km toka barabara ya lami) Kuiona nyumba tsh 10,000, husipoipenda...
1 Reactions
0 Replies
834 Views
Price:Tsh 130 mil Direction:Kibada 11km from Panton station [emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668][emoji668]...
0 Reactions
0 Replies
938 Views
[emoji117]1 Master Room [emoji117]Public Toilet [emoji117]Sebule [emoji117]2 Fremu Za Biashara [emoji117]Tilese [emoji117]Gypsum Price:18mil       Kisemvule Pwani, 15 km from mbagala Rangi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Iko mbagala Chalambe 3 km toka main road 70 mita toka barabara ya mtaa Ina vyumba vitatu Sebule Choo Bei: mil 14 Mob/wtsp/sms:+255718295182...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu ipo Mbagala Chamazi kituo cha Magengeni. Nyumba ni mpya ipo karibu na barabara na huduma zote za jamii. Nyumba ina documents zote. Inauzwa Tsh.60...
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Habarini wana bodi..tunauza nyumba yetu maeneo ya Ilazo dodoma mjini..barabara lami umeme na maji ndani ya nyumba ina fence na geti kabisa pia ina frame mbili..nyumba imeishia juu ya lenta ina...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
IVORY TOWER ltd. inauza apartment iko mjini kabisa , ni mwendo wa kutembe kwenda kariakoo, karibu na supermarkets, kuna chekechea mbili karibu na jengo za lugha ya kiingereza , pia ni karibu na...
0 Reactions
118 Replies
54K Views
Tuko upanga karibu na sido au shule ya mzizima Karibu : kwa mawasiliano piga 0625527138, bei tunaanzia 150,000 USD
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Salaam..wandugu nna nyumba nyingine tena sokoni ipo Dodoma mjini meliwa..ukubwa wa kiwanja ni 25*33 haina fence ila ina grill na imepauliwa bado finishing tuu..umeme na maji ni uhakika bei 35...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
FOR SALE DOCUMENTS; LOCAL GOVERNMENT PLOTSIZE ; 22/25 ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ DATE LISTED: 29 MARCH 2017 : WEDSDAY ASKING PRICE: [emoji389] TSH: MILIONI #120 DIRECTION ...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sallam wakuu..poleni na majukumu ya wiki..tumerudi tena na mzigo mwingine wa nyumba.Nyumba zipo kisasa dodoma na Area D Dodoma mjini barabara..maji. na umeme ni uhakika na nyumba zina hitaji...
0 Reactions
26 Replies
12K Views
Ina vyumba vinne Na Sebule Iko Mwemberadu km 2 toka Ferry Ina umeme na tiles Bei tsh milioni 28 Unaweza ifanya hostel, kwani kuna wanafunzi wengi wa chuo wanahitaji maeneo ya karibu na ferry...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu salaam Kama ambavyo tangazo linajieleza,nyumba hii inauzwa bado haijakamika IPO kwenye lenta ,nyumba IPO Bunju B(Mugemuzi) pale sokoni unapandisha juu kidogo ni kama 1.5km toka barabarani...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Nyumba mbili mpya za kisasa vyumba vinne kimoja master jiko sebule na store room..ukubwa wa eneo ni 25*30 viwanja vime pimwa na vina hati..milango na madirisha ya grill tayari. Nyumba moja ina...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu Asylum Aleku Nauza nyumba ipo mbezi msakuzi dsm Ina vyumba vitatu, 1master, public toilet Ukubwa wa eneo robo heka na zaidi Nyumba ina tiles yote, bati m'south Kuna hati ya makazi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nyumba ipo Kongowe kibaha ina vyumba 2 kila chumba na choo yake iliyokamilika. Kuna kiwanja kuendeleza ujenzi Bei ni million 15 Bei ndogo kulingana na hali mbaya ya mdololo wa kiuchumi Ukubwa...
0 Reactions
119 Replies
12K Views
Ukubwa wa Kiwanja:sq meter 1200 Ina fensi na getiI kubwa upana meter 4 serv coater ____________________ Master bed rooms: 2 Normal bed room :1 Bafu na choo cha public Jiko la kisasa ndani...
2 Reactions
43 Replies
9K Views
Nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu ipo Mbagala Chamazi kituo cha Magengeni. Nyumba ni mpya ipo karibu na barabara na huduma zote za jamii. Bei yake ni 65 milion. Nyumba ina documents...
1 Reactions
0 Replies
972 Views
Ni nyumba ambayo haijakamilika IPO kilimahewa mwanza,Ipo pembeni mwa bara bara,ina offer bei million 30 .tuwasiliane kwa 0742159555
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nyumba nzuri,mpya na ya kisasa ipo maeneo ya Mbagala chamazi.Imejengwa ktk ubora wa hali ya juu na ipo karibu na barabara na huduma nyengine za kijamii...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom