Salon za kiume Dar es salaam

Salon za kiume Dar es salaam

MILCAH28

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2014
Posts
1,140
Reaction score
328
Kama wewe unamiliki Salon ya kiume, just PM me, kuna jambo la muhimu napenda kujua, Mimi ni mmoja wa wamiliki wa Salon.
 
serious? hakuna jirani wako wenye salon hizo za kiume? zilivojazana kila hatua 3...
 
Ili iwe ya kwako ni salon kibanda ama barba
 
Sasa aku pm iweje.
We kama kuna kitu unataka ku share basi weka hapa watu wachangie.
Sio kila kitu mmiliki wa salon aanakijua,na ndio maana hata wewe unamiliki salon lakini kuna kitu unataka kujua.
Fahama kwamba pia wateja na hasa ambao wamehwahi kutumia salon nje ya nchi wanaweza kutoa mchango kuliko hata mmiliki.
Mmiliki wa salon anatagemea customer`s demand ili aboreshe huduma.Na ndio maana anasikiliza zaidi wateja kuliko kutumia ufaham wake.
 
Mimi ninayo nipm wewe unachotaka kujua. But fahamu Jf ni kwa faida ya wote sasa hizi pm tusizitumie vibaya. But nakuhakikishia usiri kwa utakachouliza.
 
Back
Top Bottom