Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

frame inapangishwa kariakoo mtaa wa likoma na muhonda ina ukubwa wa fut saba upana na urefu ni fut kumi juu ina store iko two in one bei laki 5 inatakiwa kodi ya miez 6 ila hata minne unaweza...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Natafuta TV ya kununua inch 32 na kuendelea, iwe katika hali nzuri. Nicheki kwa hii namba mwenye nayo nipo Dar 0659796147
0 Reactions
9 Replies
1K Views
naombeni msaada kuna tablet inauzwa hapa mpya aina hiyo hapo juu. nataka kujua utunzaji wa chaji na internet yake kama vipo vizuri. mwenye uzoefu plz.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wanajamii habari zenu, Namtafutia mdogo wangu nyumba ya kupanga Mkoani Mbeya iwe maeneo ya Sae, forest Iramba au Mjini yenye iwe self contained yenye chumba cha kulala, sebule, jiko na choo iwe...
0 Reactions
1 Replies
46K Views
Wana JF, Kuna ekari 50 za kijiji cha Kivinja B zinauzwa zote kwa Shs. 20,000,000/= tu. Anayetaka awasiliane nami: terabojo@gmail.com Ukiafikiana na uongozi wa kijiji utalipa kupitia katknakaunta...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wana jf tunahitaji watu wa kuuza viatu aina ya sandozi za kike na zakiume pia kwa wale wanaojua kushona maua ya shanga kwenye viatu vya kike wanahitajika. tunapatikana gongo la mboto...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
1. Successful completion of the CISA Examination The examination is open to all individuals who have an interest in information systems audit, control and security. All are encouraged to work...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau, Nahitaji mkopo wa vitu vya ndani kama TV na friji halafu nilipe kidogo kidogo kila mwezi itategemea na makubaliano na bei ya hivyo hitu. Wapi naweza kupata? Mimi nafanya kazi hapa Dar es...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
nipo mbeya tunduma no 0756282454
0 Reactions
9 Replies
1K Views
habari wadau asanteni kwa wote ambao mlinichek wiki iliyopita na kufanikiwa kuweza kufanya muamala wa laptop.leo tena nimeleta kazi ingine nahitaji laptop.yenye sifa zifuatazo 1-Processor : core...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza simu mpya (Brand New) Huawei y520 ipo kwenye box lake.Bei ni 180,000. Kwa anayehitaji anipm nipo Dar. Karibuni
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wandugu habari, Nina taka kuanzisha biashara ya kufuga nguruwe na kuuza wanapofikia ukubwa nnao hitaji,nimekwisha fanya construction zote muhimu kwasasa nipo katika hatua za mwisho. Mpango wangu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kiwanja kipo Msakuzi mita kama 500, toka kituo cha mwisho cha daladala! Kiwanja cha ukubwa wa miguu 30x20, kipo kwenye mtaa kinafikiwa na barabara yaani T junction, umeme upo karibu huitaji...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Wakuu kwa alie nayo au unajua mahali zinauzwa na ni sh ngap? Mi nipo Dar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari za humu wandugu me ni mtz nadeal na utengenezaji wa celling za gypsum acoustik pamoja na gypsum partition maelezo zaidi email vankiwelu@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama unahitaji milango, madirisha au fenicha zingine za miti mizuri ya Mkongo, Mninga, Panga panga kwa BEI NAFUU SANA niinbox nikusaidie kujenga nyumba bora na sio bora nyumba. Karibuni.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Grey, year 2004, kilometer 40,000. Cc1000, full duty paid. Price: 8,500,000.neg, Email: mosesnicolus@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Grey, year 2004, Cc 1000, kilometer 40,570, price: 8,500,000. Neg, fully duty paid. Email: mosesnicolus@ gmail.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ipo Ada Estate Kinondoni. Nyumba ya pili toka barabara ya Ally Hassan Mwinyi. Inatazamana na leaders club. Ina vyumba 2 vya kulala sebule kubwa jiko store, ni apartment. Bei lake 9 kwa mwezi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji alteza 4 cylinder Iwe Dar plate namb C Kama unayo tuma picha na detals zake hapa 0714547830
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…