Nauza gari ndogo aina ya Nadia 5mln, gari IPO kwenye good condition ila nimeshindwa kuupload picha take kwa anae hitaji anipm mamba take nitumie kwa whatsap
habari wakuu!..
Mwenye moja kati ya hizo simu hapo juu naomba aniambie ni shiling ngapi?..au mwenye kujua ni wap nitapata kwa bei nafuu dsm naomba pia aniambie..
Nawasilisha!
Habari za kazi,
Nipo Mwanza bado mgeni, nahitaji laptop aina ya HP iwe na
1. Window 8
2. Processor--2.16GHZ(intercelon)
3. Ram-4GB
5. Hard disk-500GB
6. Iwe na warranty software...
Habari wana JF,
Nataka kuuza CD, DVD za tamthiia za Kikorea na Bongo Movie pamoja na Empty DVD.
Hivi vitu vyote nahitaji ktk office yangu vya kuuza kwa watu wa bushi kwangu .
Asanteni
Viwanja Vipo 4, kila kimoja kina ukubwa wa 20M*20M.Viwanja vyote vipo sehemu moja (uwanja umekatwa).
bei ya kiwanja kimoja yaani 20M*20M ni milioni7.
Document: serikali ya mtaa paper
Barabara ipo...
Habari zenu wapendwa,mie ni kijana mwenye ujuzi wa ufundi wa umeme wa majumbani,kwa wale wenye uhitaji wa kuwekewa Wiring ya Umeme au kurekebishiwa wiring zenye hitilafu/shoti kwenye ofisi au...
Kiwanja kinauzwa kipi Majohe kata ya chanika,hekta 0.5,bei mil 20 pia maelewano ya bei yapo.
Kiwanja hiki kimepimwa kipo Majohe Bwera kituoni,urefu miguu 50 upana miguu 22.
Namba ya simu 0712138303
Kuna htc one xv brand new with full full accessories
Bei yake ni 300k
Maelewano yapo
Pia kuna Htc one v used for two weeks
Accessories zipo
Bei yake ni 120k
Maelewano yapo pia
Napatikana...
Nina meza ya vioo-aluminum nilokuwa naitumia dukani kwangu. Ni kubwa (urefu mita 1, upana cm 40 na height mita 1.2). Iko imara na haina tatizo lolote, bei 350,000/=. Niko Kinondoni, Vijana/Studio...
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wanajamvi. ninasambaza dagaa wasafi waliokaangwa kutoka mwanza kwenda mikoani kama shinyanga, singida, dodoma, morogoro na dar pia.
Dagaa hawa nimewaweka...
- 2005 Scania R420
- 6x2 Rear Lift (Tag Axle)
- Opticruise gearbox with clutch pedal (able to convert it to a manual WITHOUT changing the gearbox)
- Retarder
- Cruise Control
- AC
- One owner from...
A modern house on a two acre plot of land is up for sale at Kongowe along Morogoro road in Pwani region.
It has two bedrooms, two bathrooms, an underground water reservoir and a water tank...