Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu nahitaji printa kwa ajili ya ofisi yangu..napenda iwe na angalau spcs zifuatazo: 1. Speed angalau 50ppm 2. All-in-one yaani scanning,printing and copying Nimejaribu kuchek online kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
xxxxxxxxx
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Viko Mbezi mpiji magoe, Vina ukubwa kuanzia mita 20*20 tsh million 3.5 tu., Bei inaongezeka kulingana na ukubwa. Vyote vinafikika kwa barabara nzuri. Umeme upo, maji yapo. Kwa taarifa zaidi...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Imetumika miezi miwili tu kwaiyo bado mpyaaaa!! Internal memory 16GB camera ya mbele na nyuma nk. Bei tsh 180,000/=Tu WhatsApp au text 0713943432 npo dar
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mitsubish Pajero Cc-650 Km-90000 Bei-6.2mln Gari iko dar, kwa wale watakaji ambao wako serious tuwasiliane 0715591141
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari... Je! unahitaji samaki kwa bei ya jumla? kama jibu lako ni ndio weka oda yako sasa ili upate samaki wa aina ya perege. Oda hii ni kwa walioko Arusha tu. Unaweza kuniPM nikupatie...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
nauza Nokia x inayo support android apps.. bei ni 180,000/ iko sawa kila kitu na haina tatizo lolote. Exchange offer pia kwa mtu mwenye s3, s4 note 1 au 2 ntamuongeza na hela kidogo kutokana na...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Ndiyo wakuu! Habari za kwenu! Natambua uwepo wenu wakuu na heshina kwenu. Naomba niwape habari njema! SHAMBA KUBWA ZURI LINAUZWA. LIPO NDANI YA MANISPAA YA MOROGORO.ENEOB BIGWA. Maji mengi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nataka kuchimba kisima cha maji kwa matumizi binafsi wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, mwenyekujua kampuni au watu wanaojishughulisha na kazi hizo mkoani Mbeya. Naomba mnijuze Shukrani
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Size ni 4 kwa 6 pia kilitumia miezi nane iliyopita so kipo katika hali nzuri. Bei tsh 75000/= tu WhatsApp 0713943432 nipo dar es salaam
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Wadau nimedunduliza vijisent vyangu sasa vimefikia milion 7. nataka kununua kagari kadogo kwa ajili ya mihangaiko yangu ya mjini. Je naweza kupata gari lolote dogo kwenye Yard za dar kwa pesa...
0 Reactions
62 Replies
15K Views
Napenda kuwaarifu kwamba kitabu cha mbinu za biashara na maarifa ya kupata pesa na utajiri kinauzwa. Kwa wale wanaohitaji wanaweza kukinunua kwa bei ya Sh. 6,000 tu. Kitabu hicho kimetungwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
iwe kweny hali nzuri pls budget yangu elfu 60000cash 0789521550
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Viwanja vizuri sana Viko Goba-Tegeta 'A' vinauzwa ukubwa kuanzia Mita 22*23 Bei million 5 inaongezeka kulingana na ukubwa. Vyote vinafikika kwa barabara, umeme upo, maji yapo. Kwa taarifa zaidi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Toyota ist..namba "C" Cc 1390 Mwaka 2002 Iko katika harI nzuri sana na haijawatoka nje ya dar. Bei.9.6m call 0783380123 tufanye biashara.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Shamba linauzwa morogoro dakawa m 400 toka barabara kuu iendayo dodoma.lina n'gombe 180 wa maziwa .mbuzi na kondoo 170.nyumba moja umeme upo hadi shambani.bei ml 800.vinauzwa pamoja vyote lina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kunashamba linauzwa maeneo ya Morogoro njia ya kuelekea Dodoma baada ya mizani ya kihonda. Shamba lipo mita chache baadabya reserve ya barabara ya Moro to Dodoma.Eneo ambapo shamba linapatikana ni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Shamba Linauzwa, Shamba la Miti Ekari 29.1 kijiji cha Nyakagomba, wilaya la Geita, Lina vibali vyote Muhimu. Aliyetayari tuwasiliane-:0765 32 42 57 AU 0719 81 9001.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom