Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

guys nahitaji iphone 6 asap, kabla ya jmosi please ni pm kama unauza budget ni 850k.
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Kiwanja kina ukubwa wa 26x16 kipo maeneo ya Sinai mtaa wa field force. Bei 2M Contact 0674057335 au PM.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kama Uzi unavyojieleza nimeamua kuuza mashine yangu coz nimepata kazi ya campsite hivyo sina muda wa kuitumia. dell latitude e4300 haina tatizo lolote, charge more than 2hrs,.. nipo arusha, bei ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Vina ukubwa kuanzia mita 20*20 tsh million 4, Ukubwa 40*20 million 8. Umeme, maji vinapatikana. Kwa taarifa zaidi piga: 0715055577
0 Reactions
37 Replies
8K Views
Post Your Vehicles For FREE With 254Cars.Net www.254cars.net
0 Reactions
1 Replies
776 Views
Nyumba ipo bahari beach silver road Ipo ndani ya fanx maji umeme vipo Maelezo zaid 0715060183
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jamii forums, ninanunua magari kwa thamani isiyozidi milion saba (7Mil). Yeyote mwenye gari aina yoyote tuwasiliane. Namba za gari ziwe namba B au C au D. Mwenye gari namba A nitanunua kwa...
3 Reactions
163 Replies
33K Views
Naiuza sh 400,000,
0 Reactions
1 Replies
992 Views
habarini ndugu nina kuku wa kienyeji wa kutosha majogoo makubwa na mitetea inayoanza kutaga unaletewa popote ulipo bei majogoo 13000 na mitetea ni 11000 malewano yapo my no.0763527230 au...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Kwa 1400 kila kifaranga. Weka order kwa idadi yako kupitia namba 0717221590.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninauza nikon d3200 kwa shilling 1m, ni pm
0 Reactions
3 Replies
985 Views
Simu tajwa hapo juu naiuza kwa bei tajwa, ni original na ina rangi nyeupe. Housing yake waweza ibadilisha ukitaka na simu inapiga mzigo. Ndo naitumia muda huu. Nipo Dsm nicheki 0714-408238.
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Nahitaji angle ngrinder machine kubwa makita au bosch kwa bei nafuu Mimi nina 250,000 /=
0 Reactions
1 Replies
958 Views
Wakuu mwenye kuwa na hyo gari apo juu anipm faster tuongee na kufanya biashara haraka sana.nitumie picha za gari kwa namba 0714478797.Sabasaba njema
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Brand new lg g3 Haijatumika ipo full boxed Bei ni 700k Maelewano yapo Nipo dar kwa mawasiliano 0657233029
0 Reactions
1 Replies
842 Views
Huawei y530 used 4 weeks black for sale 135,000tsh.
0 Reactions
2 Replies
929 Views
Ukijenga Nyumba nzuri kwa kutumia Ramani zetu utakua na furaha maishani kila ukiiona Nyumba yako. Kwa Ramani nzuri za kisasa za Nyumba wasiliana nasi. piga simu/WhatsApp 0717 040837
0 Reactions
0 Replies
3K Views
  • Closed
Nipo na tecno l6 imekufa mashine yake ipo vizuri like an new kwa ambaye amevunja touch ama screen na anahitaji unaweza ku-sms 0715387545 or 0687 387545
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom