Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tipper, Jiefang ( CA141) Inauzwa. Gari lipo Mwanza mjini. linafanya kazi. PM ukihitaji
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunachora Ramani za nyumba za kisasa kwa bei nafuu sana. Kwa Maelezo zaidi Piga simu/WhatsApp 0717 040837
0 Reactions
1 Replies
16K Views
MISSION GOOD HOPE TANZANIA 2025 Inawatangazia wahandisi wote waliohitimu na wanaotarajia kuhitimu katika fani mabalimbali za uhandisi kuwa tunajipanga kufanya ushindanishi wa matumizi ya ubunifu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu natafuta chumba kimoja master...kiwe maeneo ya Tabata au Kinyerezi...Bei iwe kwenye range ya elfu 50 mpaka elfu 70 miezi 6..Isiwe mabondeni wala isiwe na masharti mengi mimi ni...
0 Reactions
0 Replies
991 Views
Nipo dar simu safi haina shina yoyote0712505049
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wakazi wa mbagala na maeneo ya jirani karibu mpate huduma ya barbershop, ni ya ukweli na ya kijanja sana kwa mbagala yote. Saluni ipo njia kuu ya kuelekea kongowe, ukitoka stand ya rangi 3 kwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
MISSION GOOD HOPE TANZANIA 2025 Inawatangazia wahandisi wote waliohitimu na wanaotarajia kuhitimu katika fani mabalimbali za uhandisi kuwa tunajipanga kufanya ushindanishi wa matumizi ya ubunifu...
0 Reactions
0 Replies
510 Views
MISSION GOOD HOPE TANZANIA 2025 Inawatangazia wahandisi wote waliohitimu na wanaotarajia kuhitimu katika fani mabalimbali za uhandisi kuwa tunajipanga kufanya ushindanishi wa matumizi ya ubunifu...
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Natafta cm ya tecno touch bei iczd laki mja
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gari aina ya Mark II inauzwa iko katika hali nzuri sana na bei ni mil 5.5 na maelewano yapo. Kwa mawasiliano zaidi 0754 771 937 Karibuni
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nauza Laptops aina zote... mpya na used zote zipo... bei ni kuanzia 300,000/- na kuendelea... piga au tuma msg #0714 009817
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Amani kwenu wakuu. Natafuta wateja wanaonunua mbao kwa bei ya jumla. Nafanya utaratibu wa kutafuta kibali halali kutoka maliasili. Kuna uhakika wa mbao 2000 kupatikana kila baada ya wiki mbili. Ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nahitaji samsung galax s2 iwe nzma na isiwe na tatizo lolote nina 150,000(laki na nusu) nipo dsm
0 Reactions
2 Replies
819 Views
Wakuu, Salon ya standard ya kawaida iko complete na ipo sehemu nzuri. Imekuwa hapo kwa miaka mitatu hivyo ina wateja tayari. Mwenyewe ni wa mkoani, alikuwa anasoma chuo amemaliza anarudi mkoani...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana jamii forum.nawafikishia fursa ya nyumba kuuzwa kwa mnada wa adhara maeneo ya buza mtaa wa sigara dar es salam temeke,nyumba ya kawaida sana choo cha nje,vyumba upande mmoja...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Naomba wakuu mnishauri wapi naweza pata mbegu original nyanya nipo Dar es Salaam ni aina ya tanya na rio grande nataka kulima Dodoma nyanya Mwez wa kumi
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nokia tajwa hapo juu inatakiwa iwe haina tatzo lolote,iwe haijatumika sana au haijatumika kabisa. Iwe inakaa na chaji,isiwe na michubuko. Mwenye kuwa nayo anicheki
0 Reactions
3 Replies
754 Views
Wana JF ,natafuta vifaa vilivyotajwa hapo juu mahali vinapouzwa hapa Dar , nitashukuru sana kama ukiweka na bei zake
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji laptop na projector jaman anicheck kwenye no yangu ya simu ambayo ni 0715-546818 Imebaki laptop moja na projector moja ambazo ni matata sana Laptop ni dell latitude E5440, ram...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salamu wana JF Naweza kupata wapi Bata Bukini (Goose) jijini Dar?
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…