Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bado ipo katika hali nzuri kama inavyoonekana iko na Km 120,000 Kwa maelezo mengine Pm nikujuze.. Gari iko Dar.
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Nauza mikanda ya kupunguza ni ya mtumba.ndan ya wiki moja tumbo linaisha.kama ukiwa serious kuvaa muda wote.meusi nauza elfu 40 na meupe elfu 30.Naleta ulipo kwa walioko Dar. Napatikana kwa namba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mzigo upo vizuri haujatumika sana hauna tatzo lolote ni touch ya ukwel sana. Nichek 0674439864
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana Jf Nauza hiyo kitu 1.67ghz duo core processor 2gb ram 250gb hddd webcam ndani kuna software kali kama the best hacking software- core impact pro best for screwing...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Re: Nauza Samsung 40" series 4, 2014 kwa Tshs. 1m na iPhone 5 kwa Tshs. 400,000/= Tuwasiliane please kupitia namba 0655957715. NO TIME WASTERS PLEASE
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Nyumba nzuri ya kisasa iko Tegeta inauzwa, bei maelewano. Ina hati na uwanja mkubwa tayari kwa kuhamia. Piga 0674631109 kwa maongezi zaidi. Nina shida kwa hiyo naomba serious buyer tu..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, Nauza gari aina ya Lexus RX3.00 ya mwaka 2006. Gari hii ni Automatic na pia imetokea U.K, ina 'leather seat' na ni ya mwaka 2006. Haina tatizo lolote, KM zake ni 122,000. Bei yake ni Sh...
0 Reactions
2 Replies
975 Views
Toyota chasser ya mwaka 2000 shs 4.0milioni
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa yeyote aliye na maono ya kuwekeza katika financial services kwa kutoa mikopo kwa watumishi wa Umma tu, tuwasiliane ili tuwekeze pamoja, usajili wa Exodus Financial services unaendelea hivi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nawasalimu nyote. mm nafanya biashara ya TIGO PESA NA M PESA. MWezi wa TISA nafunga hiyo biashara maana kila mtu ninayemweka asimamie ananiangusha. Mwenye uhitaji za hizo line tuwasiliane PM...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Yeyote aliye na sofa set used na anauza, tuwasiliane kwa simu 0688308840
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni blackberry bold 9900... Inatumia touch pamoja na button...Bado mpya,haina hata mwezi mmoja tangu ianze kutumika.. Bei ni 110,000 tu Nipo dar
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii ni habari ya mjini bwana pata Decoder ya...Qsat,SpeedHD...zenye uwezo wa kuona channel za mpira Move bila malipo ya mwezi yani buree...pia tunalekebisha aina zote za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Nahitaji kabati tajwa hapo juu lenye urefu wa mita 2 au 1.5. Nina laki 1 na 50 na nipo Mbeya. Nitanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wanajamvi,kwa yeyote mwenye kuhitaji mashine ,za kisasa kutoka NJE ,tuwasiliane,zipo zenye ukubwa tofauti,kuanzia mayai 500,ni outomatic,huna haja ya kugeuza mayai .kila kitu kinafanyika...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Contact 0752039770 for information.. Tractor lipo dar tayari and registered.
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Brand new air conditioner(super national) hp 2.. Million moja tu.. Contact 0752039770
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Wadau, Nahitaji pure sea salt isiyowekewa madini ya joto au chochote. Hii ni kwa mahitaji yangu ya kukaushia ngozi za wanyama. Ikipatikana kutoka Dar au Bagamoyo itakuwa safi. Piga 0758434141...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Natafuta DVD Player yenye option ya USB as soon as possible. Kama unayo nirushie picha hapa kabla hujani PM tufanye biashara. As soon as possible ntashukuru. Changamkeni
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Nahitaji msaada wenu wa ushauri. Nataka kwenda Entebbe (EBB) niko njia panda kati ya FastJest na RwandaAir. Kuna mdau ananiambia Fastjet hawako reliable wana cancell ndege mda wowote ingawa bei...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…