Karibuni sana hapa Banana, Tumefungua ofisi mpya kwa huduma zilizopo hapo juu; Licha ya hayo, pia;
1. Tunasajili Kampuni, jina la biashara
2. Tunasajili Miradi ya uwekezaji (TIC)
3. Tunafuatilia...
Mjasiriamali unahitaji mashine za kusaga na kukoboa kwa bei ya kukujali na zikiwa imara zenye uwezo wa kukurudishia gharama zako tunazitengeneza 0688147644 TUPO TABATA
MSIMU HUO WA MAVUNO NDIO...
Hello!
Heri ya mwaka Mpya. Nilipata changamoto nikapotea kidogo Ila nimerudi (wakulungwa wanaelewa nimepotea wapi).
Back to business.
Ninaomba mnisaiaide kupata eneo zuri la biashara ya...
Toyota IST (DUU)
Year 2005
2nz, 1290cc
Bei Tsh 12,300,000
Toyota Harrier (DFV)
Year 2004
2AZ VVT-i
2260cc
Bei Tsh 21milion
Nissan Dualis (EAA)
Year 2008
Cc1990
Bei 16,500,000
Toyota Ractis...
OFA!! OFA!! OFA!! OFA!! Karibu NIZAR COMPUTER ACCESSORIES
Leo tumekuja na OFA za Laptop zifuatazo:
1. Dell Latitude 3190
✔ 4Gb Ram
✔128 Ssd
✔ Intel celeron
Ofa zake ni FLASH 32GB, WIRELESS...
Pata ramani za nyumba zikiambatanishwa pamoja na makadirio ya ujenzi wa kila ramani pia utaweza kupata kibali cha ujenzi bila usumbufu. call 0686970690
Rafiki yangu mpendwa,
Kila mtu hapa duniani huwa ana njia yake ya uhakika ya kutokea, njia ambayo inamfikisha kwenye mafanikio makubwa.
Lakini wengi wamekuwa hawafanikiwi kwa sababu wakifika...
Prince jesuxy stationary centre tunatoa huduma kama vile printing, typing, laminating, photocopying, tunaprint ID, mitihani, matangazo, tunatengeneza vitini na vitabu, paspot size, tunapanga...
Hostel ya vyumba 12 ndani ya kiwanja cha sqm 412 inauzwa million 55 hostel ipo kange kasera karibu na chuo cha utumishi tanga. Kwa mawasiliano 0612630936
Attachments
Tunauza totebags, jumla na rejareja tunapatikana survey darajani karibu na Chuo kikuu Ardhi.
Bei kuanzia Tshs. 16,000-25,000.Karibu i sana
📞0786 149173
📞0652 918806
Habarini wakuu, mimi ni fundi aluminium ikiwemo
__madirisha ya aluminium
__milango ya aluminium
__makabati ya chips
__partitions za majumbani na ofisini
NAPATIKANA DARESLAAM -MIKOANI PIA...
Fundi nipo hapa karibu kwa kazi za madish na mfumo wa tv cable ofisini, hotel au lodge karibu tufanye kazi.
Napatikana Dar es salaam mjini(mwenge, kariakoo,na sehemu zingine)
Mawasiliano
0749247929
Jipatie chanuo la umeme kwa bei nafuu ya Tsh 45,000 tu
Bidhaa hii inatatua changamoto zifuatazo:
1. Kuzuia nywele kuwa ngumu:
• Inafanya nywele kuwa laini na , hata katika hali ya...
Habari ya weekend!
Nauza microwave ni kama mpya kabisa sababu haijatumika sana bei ni 120,000/= sababu ya kuiuza ni ninazo 2 so hii siitumii, pia ukilipia 140,000 nakupa na viti 2 vya...
🧹 Karibu kwa Huduma ya Kusafisha ya Super Cleaning Service! 🧽
🏠 Tunatoa huduma ya kufanya usafi kwa majumba, ofisi, shule, na hata kumbi za starehe! Pia, tunajihusisha na kufua nguo majumbani...
Habari, kwa waliojenga na kama kuna mafundi humu,eti fundi kukufanyia setting ya nyumba na msingi inaweza kurange ktk bei gani.ukubwa wa nyumba ni 3 bedroomed.nataka niwe na idea ili asije...
Wana Jamvi salama jamani.
Karibuni katika jukwaa let us la kilimo na mifugo.
Mimi ni mmoja wa wafugaji wadogo magharibi mwa Tanzania ninafuga ng'ombe na mbuzi wa kienyeji.
Nina hitaji la kuboresha...
Habari mdau wa filamu na series toka mataifa ya nje kama vile USA,CHINA,INDIA nk hofu ondoa.
Kama kuna yoyote unayoitafuta karibu sasa utaipa kwa bei ya kuchangia bando.Tujuze id yake ya IMDb au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.