Kwa mwenye connection ama kuweza kunisaidia kupata nyumba ya kupanga Zanzibar naomba tuwasiliane. Nitahitaji nyumba hiyo kwa siku 44 kuanzia leo. Nipo safarini kwenda Zanzibar hivyo mwenye idea...
Wakuu kwema? Nauza ps2 ina pad moja, inatumia memory haitumii CD ina games ambazo ni saved kama fifa 14, mortal kombat, burnout na bikehill.
Nauza kwa 130k
Viwanja vinauzwa eneo la Vikawe njia ya kwenda Bagamoyo karibu na shule ya Baobab.
Umbali mfupi kutoka barabarani, ekari moja mill 22.
Kingine urefu mita 60 kwa 30 mill 15.
Kwa mawasiliano ni PM
Nauza cd za playstation 3.....
Max payne 3-50,000/=
street football 4-40,000/=
ukitaka zote ntakufanyia kwa elfu 70..haipungui.
Unaweza nicheki whatsapp,pm au hata kunipigia kwenye 0718891984...
Habari wana JF, nauza kiwanja kipo maeneo ya njia panda mji wa himo-Kilimanjaro,"Kiwanja No.116","Kitalu F". Kina UREFU:hatua 50 na UPANA:hatua 25,huduma ya maji na umeme inapatikana bila...
Habari wadau..
Nauza simu ya SAMSUNG GALAXY S4 kwa thamani ya TSHs.350000/=,haina tatizo lolote...imetumika kwa miezi miwili hivyo bado ina upya wake na haijachoka kabisa,ina rangi nyeusi,kwa...
HABARI wana JF,Kama nilivyosema hapo juu nauza kiwanja kipo maeneo ya kiluvya kwa komba,Chenye UREFU:hatua 46 na UPANA: hatua 20...na kipo mita 90 kutokea morogoro road,pia eneo lina upatikanaji...
Tafadhalii sana baada ya kununua niliiwasha ikauliza baadhi ya maswali ikiwemo keyboard layout nikachagua English UK
NADHANI HAPA NDIO NILIKOSEA ,, JE NAWEZAJE KUBADILISHA...
Kiwanja karibu na hotel ya Amani beach chenye ukumbwa wa heka mbili kinauzwa. Bei Shs 120,000,000/- kwa heka. Kipo Minondo karibu na hotel za Amani beach na Pretoria. Kwa maelezo zaidi wasiliana...